Quantcast
Channel: MRISHO'S BLOG
Viewing all 4405 articles
Browse latest View live

KUBALI KIPAJI CHA MTOTO WAKO, TUKUTANE LEDGER PLAZA BAHARI BEACH


KIONGOZI WA BENDI YA THE NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI AKUTANA NA ANKAL JIJINI DAR

$
0
0
 Ankal akimkabidhi zawadi ya Krismasi  na kadi Kamanda wa FFU Ughaibuni The Ngoma Africa Band ya Ujeruman, Ras Ephraim Makunja, a.k.a Field Marshal wa jamii ya Annunaki walipokutana leo katikati ya jiji la Dar es salaam na kufanya mazungumzo ya faragha ya saa moja katika kiota cha Break Point cha mjini. Katika mazungumzo yao waliongelea mambo mengi ikiwa ni pamoja na kuendeleza undugu uliopo baina ya Globu ya Jamii na FFU Ughaibuni, na kupanga tarehe ambazo The Ngoma Africa Band itakuwa huru kuja kufanya maonesho kadhaa nchini Tanzania.
 Ras Makunja anarivenji kwa kumkabidhi Ankal zawadi ya moja ta T-Shirt kibao alizomletea zikiwa na logo ya Globu ya Jamii.
 Ankal akimshukuru Ras Makunja kwa zawadi hiyo mwanana
Ras Makunja akiwa na mjomba wake akijiondoa eneo la tukio taratibu huku kakumbatia zawadi yake ya Krismasi na kadi. Meno yote arobaini yako nje kwani hakutegemea kupata heshima hii. Picha kwa hisanio ya mpiga picha wa The Ngoma Africa Band aliyeongozana naye katika ziara hii ya mapumziko jijini Dar es salaam. Mara ya mwisho kufika Bongo kwa Ras Makunja ilikuwa miaka sita iliyopita, na ameshangazwa na mabadiliko na maendeleo makubwa aliyotaona kila mahali, kuanzia nyumbani kwake mtaa wa Aggrey ambako mbavu za mbwa yao imeshajengwa bonge la Ghorofa, nusura apotee, na huko kwake Segerea ambako anasema kuna lami mpaka jikoni....

SING n DANCE LIKE DIAMOND on X-MAS!

BONDIA LULU KAYAKE AJIFUA KUMKABILI Mariam Abdallah DESEMBA

$
0
0
Bondia Lulu Kayage kushoto aki oneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Ilala Kayage anajiandaa na mpambano wake na Mariam Abdallah utakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Lulu Kayage kushoto aki oneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Ilala Kayage anajiandaa na mpambano wake na Mariam Abdallah utakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com



Bondia Lulu Kayage kushoto aki oneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Ilala Kayage anajiandaa na mpambano wake na Mariam Abdallah utakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com


Bondia Lulu Kayage kushoto aki oneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Ilala Kayage anajiandaa na mpambano wake na Mariam Abdallah utakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com


Bondia Hamisi Belege  kushoto aki oneshana umwamba wa kutupiana makonde na Lulu Kayage wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Ilala Kayage anajiandaa na mpambano wake na Mariam Abdallah utakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani  anaewasimamia kulia ni kocha Sakwe Mtlya Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

NA MWANDISHI WETU
BONDIA Lulu Kayage yupo katika maandalizi ya mwisho mwisho kwa ajili ya mpambano wake na Mariam Abdallahutakaofanyika Desemba 25 katika 

ukumbi wa friends corner hotel wakisindikiza mpambano wa Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani 

akizungumzia mpambano huo Kayage amesema kuwa mimi nafanya mazoezi mwaka mzima niwe na mechi niwe sina mechi hivyo nipo fiti wakati wowote kucheza mpambano huo kwani mimi kwa sasa ndie nataraji kuwa bingwa kwa upande wa wanawake

hivyo wanawake wanaoweza kuhimili vishindo vya mchezo wa masumbwi wajitokeze ili kuleta changamoto ya mchezo huo unaopendwa na watu wengi duniani wakiwemo wanawake

unajua mimi naiga staili ya Leila Ali ambaye alikuwa bingwa wa mchezo wa masumbwi duniani na mpaka sasa amestaafu bado ana heshimika hivyo nataka nifate nyayo zake hivyo naomba mashabiki wengi wajitokeze waje kutuunga mkono na kututia moyo wa kuendelea kuupenda mchezo wa masumbwi

MABADILIKO YA TABIANCHI YANA MADHARA YA MALI NA UHAI WA BINADAMU

$
0
0
DSC_1209
Mwenyekiti wa Asasi ya vijana ya Umoja wa Mataifa (YUNA), Dr. Lwidiko Edward, akizungumza na vijana kutoka Asasi mbalimbali hapa nchini juu ya ushiriki wa vijana katika mkutano uliopita wa COP 19 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi UNESCO jijini Dar es Salaam.
.Mvua na mafuriko ni mifano hai katika baadhi ya nchi duniani
.Mapigano ya wakulima na wafugaji ni madhara ya mabadiliko ya tabianchi
Na Damas Makangale, MOblog
CHAMA CHA UMOJA WA MATAIFA CHA VIJANA (YUNA) kimesema kwamba mvua, mafuriko na mapigano ya wakulima na wafugaji yanasababishwa na mabadiliko ya tabianchi na kuomba nchi wanachama kuja na mpango mkakati wa muda mrefu kukabiliana na majanga hayo.
Akizungumza na vijana kutoka Asasi mbalimbali za vijana nchini kwenye mkutano wa kujadiliana yaliyojiri katika mkutano wa 19 wa mabadiliko ya tabianchi (COP 19) uliofanyika Warsaw, Poland Afisa Mradi wa Jukwaa la Mabadiliko ya tabianchi, Fazal Issa, amesema kwamba mabadiliko ya tabianchi yamesababisha hasara na vifo kutokana na mvua kubwa zinazosababishwa mabadiliko hayo ya tabianchi.
“kwa mantiki hiyo wanachama kutoka nchi 194 kwenye mkutano wa COP 19 nchini Warsaw, Poland walikubaliana kuja na mkakati wa muda mrefu kushughulikia mabadiliko ya tabianchi yanayosababisha mvua na mafuriko sehemu nyingi duniani,” amesema.
DSC_1238
DSC_1265

Afisa Mradi wa Mabadiliko ya Tabianchi, Fazal Issa, akiwasilisha ripoti yao ya ushiriki wa vijana na mambo waliokubaliana na wanachama na Asasi za kiraia katika kupambana na mabadiliko ya Tabianchi na umuhimu wa kupunguza hewa ukaa duniani.
Issa amesema kwamba moja ya makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi ni kuja na mkakati wa teknolojia na habari ili kuweza kupiga hatua katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia teknolojia zaidi kupunguza hewa ukaa kwenye anga ya duniani.
Amesema pia kwamba katika mkutano huo wajumbe walikubaliana katika kutengeneza mfumo wa kifedha wenye kuwezesha kamati na tume mbalimbali za kupambana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuchangisha fedha kutoka kwa wanachama mbalimbali duniani.
“mpaka sasa kamati ya utendaji wa mabadiliko ya tabianchi imeshakusanya karibu Tsh 33 billioni katika kushughulikia matatizo ya mabadiliko ya tabianchi duniani,” alilisitiza
DSC_1273
Mkuu wa kitengo cha Model UN-YUNA , Adam Anthony, akizugumzia ushiriki wa vijana na Asasi za kiraia katika mkutano wa COP 19 uliofanyika nchini Poland na umuhimu wa wanachama kukubaliana kupunguza hewa ukaa wa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Asasi ya vijana ya Umoja wa Mataifa (YUNA), Dkt. Lwidiko Edward , amesema wamekuja na mkakati wa kutoa taarifa kwa vijana wenzao ya juu ya yaliojiri katika mkutano wa tabianchi na nafasi ya vijana katika kupambana na matatizo ya tabianchi duniani.
Dkt. Edward, aliongeza kuwa katika mkutano wa COP 19 vijana waliweza kushiriki kikamilifu katika kupeleka agenda zenye maslahi mapana kwa vijana na vizazi vijavyo na madhara ya mabadiliko ya tabianchi kwa vijana duniani.
“wanachama wa mabadiliko ya tabianchi duniani wamekubaliana kupunguza hewa ukaa ili kupunguza joto duniani kwa kuanzia ni kwenye nchi zenye viwanda vingi,” amesema.
Amesema pia mabadiliko ya tabianchi katika nchi zinazoendelea inaonekana dhahiri kwenye sehemu zenye ukame kwa sasa na mapigano ya wafugaji na wakulima ni mifano hai ya madhara ya mabadiliko ya tabianchi katika nchi zinazoendelea.
Dkt. Edward, amesema kwamba kupunguza hewa ukaa duniani ni muhimu hata kama baadhi ya nchi tajiri zinategemea viwanda katika kukuza chumi zao na kuleta maendeleo kwa watu wao.
DSC_1250
Vijana wakiuliza maswali mbalimbali juu ya ukweli kwamba Je sauti ya vijana inasikika katika mikutano ya COP duniani.
DSC_1254
DSC_1295
Allyah Mohammed kutoka YUNA, akizungumza kuhusu swala la jinsia na ushiriki wa Mwanamke katika mabadiliko ya Tabianchi kwa sababu wanawake ndio wanaoathirika zaidi na mabadiliko ya Tabianchi duniani.
DSC_1290
Imman Khatib kutoka YUNA akizugumza kuhusu swala la kupata mafunzo mbalimbali kuhusu mazingira na mabadiliko ya tabianchi kwa vijana na hasa wasichana ili wawe na uelewa kuhusu mambo hayo.
DSC_1278
Sehemu ya vijana walioshiriki mkutano huo ulioandaliwa na YUNA kwa maslahi ya vijana wa Tanzania.
DSC_1227

MH. LOWASSA ASHIRIKI TAMASHA LA WAENDESHA BODABODA JIJINI DAR LEO

$
0
0
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa Tamasha Maalum la Bodaboda lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam.Mh. Lowassa alikuwa ni Mgeni Rasmi katika hafla hiyo iliyofana sana.
 Naibu Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza machache kwenye Tamasha hilo kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi kwenye Tamasha hilo,Mh. Edward Lowassa (kulia).Katikati ni Kamanda wa Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Tanzania,DCP. Mohammed R. Mpinga.
Kamanda wa Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Tanzania,DCP. Mohammed R. Mpinga akizungumza akitoa hotuba yake mbele ya Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa Tamasha Maalum la Bodaboda lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Pikipiki Wilaya ya Ilala,Michael Roewe akisoma Risala yao mbele ya Mgeni Rasmi,Mh. Edward Lowassa (hayupo pichani) wakati wa Tamasha Maalum la Bodaboda lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipokea Risala ya Chama cha Waendesha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam,Kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Pikipiki Wilaya ya Ilala,Michael Roewe.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikabidhi Zawadi kwa Afisa wa Benki ya FNB kwa kutoa Mchambo mkubwa kwa Waendesha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikabidhi Zawadi kwa Afisa wa Mfuko wa PSPF kwa kutoa Mchambo mkubwa kwa Waendesha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipokea Zawadi Kutoka kwa Mwenyekiti wa Muda wa Shirikisho la Waendesha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam,Said Magamba.
Salamu kwa waendesha Bodaboda.
Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya wanaounda kundi la KIBEGA,wakitoa Burudani mbele ya Waendesha Bodaboda hao.

Sehemu ya Waendesha Bodaboda hao wakifatilia kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi.
Msanii Linex akifanya yake Viwanjani hapo mapema leo.
Mgeni Rasmi katika Tamasha la Waendesha Bodaboda Mkowa wa Dar es Salaam,Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiondoka viwanjani hapo huku Vijana Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam wakimsindikiza kwa shangwe.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwaaga Vijana wa Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati alipokuwa akiondoka viwanjani hapo huku shangwe zikitawala viwanjani hapo.
Vijana wa Bodaboda wakilisukuma gari la Mh. Lowassa ikiwa ni sehemu ya Furaha waliokuwa nayo.

VIDEO YA HOTUBA YA MH. LOWASSA

Wafanyakazi wa Vizion One Inc wapongezwa

$
0
0
Mkurugezi mtendaji wa Vizion One Inc Bw,Abdallah Kitwara Amewapongeza Wafanyakazi na Wahisani wa kampuni hiyo kwa jitihada yao ya kufanya kazi kwa bidii ili kutoa huduma bora kwa Wagonjwa na wateja wao.
C.E.O Vizion One Home Health Services Bwana. Abdallah Kitwara  akizungumza na wafanyakazi wa kampuni yake na wageni mbali mbali waliohudhuria, pembeni yake ni Mkewe Bi.Vanessa Kitwara.
Pongezi hizo alitoa wakati wa hafla maalum ya mwisho wa mwaka iliyoandaliwa na kampuni hiyo Siku ya Ijumaa Dec 20, katika Ukumbi wa Lanham hapa Washington D.C
Amesema kampuni yake ya Vizion One Home Health Services hivi sasa Mbali ya kutoa huduma yake Mjini Washington D.C,  Pia imesambaza huduma zake katika majimbo mengine hapa marekani ikiwemo Pennsylvania, Massachusetts, Kentucky na Kansas Missouri.
Aidha  amewashukuru , wafanyakazi na washirika mbali mbali waliojitolea kutoa msukumo mkubwa wa kupelekea kampuni yake ya Vizion One Inc kutoa huduma bora zaid.
Sherehe hizo zinazofanyika kila mwisho wa mwaka kampuni ya Vizion One Inc iliweza kuwatunuku cheki wafanyakazi wake kama tunzo la ufanyakazi bora na kuongeza bidi za kazi kwa mwaka unaofuata lakini pia katika hotuba yake meneja wa kampuni hiyo Abdallah Kitwara aliweza kizunguimzia historia yake kwa kifupi baada ya pongezi na shukurani kwa wafanyakazi wake.

Kwa taswira zaidi click read more.

Skylight Band kutoa burudani adimu kwa mashabiki wake ndani ya Escape One sikukuu ya X-MASS na BOXING DAY

$
0
0
DSC_1309
Kutoka kushoto ni Kipaji kipya ndani ya Skylight Band anafahamika kama DONODE, DIGNA MBEPERA, SAM MAPENZI na ANETH KUSHABA AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani ambapo X-MASS pamoja na BOXING DAY watakinukisha kwenye kiota cha Escape One kwenye upepo mwanana wa bahari.....Njoo ufurahie mapumziko yako na Band nambari moja mujini wengine wanafuata.
DSC_1315
Aneth Kushaba AK47 katika hisia kali.
DSC_1335
Digna Mbepera akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_1340
Shabiki wa Skylight Band Zulekha alishehereke siku yake ya kuzaliwa ndani ya Thai Village na kupata bahati ya kuimbiwa wimbo maalum wa Happy Birthday na Divas wa Skylight Band.
DSC_1343
Eeeeh Shosti njoo niku-hug mweeee hongera jamani.....!!! Full mashamsham na mashosti zake.
DSC_1344
Mashamsham moto moto....raha iliyoje....!!! Kwa wale wote watakaozaliwa tarehe 25 sikukuu ya X-MASS watapata wasaa wa kuimbiwa wimbo wa Birthday na Skylight Band kama ilivyokuwa kwa mdau pichani.
DSC_1387
Anafahamika kwa jina la Donode ni kipaji kipya cha Skylight Band.....Lione Richie wa Bongo njoo umshuhudie X-Mass hii pamoja na Boxing Day ndani ya Escape One Mikocheni jijini Dar.
DSC_1390
Mdogo mdogo mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor Juma lilipotia.
DSC_1394
Skylight Band inagusa rika zote haijalishi....kama inavyoonekana pichani.
DSC_1401
Nyomi ya mashabiki wa Skylight Band ikiendelea kumiminika kwa dancing floor.
DSC_1403
Madada wakijiachia kwa raha zao....!!!
DSC_1407
Mary Lukas na Digna Mbepera wakifanya yao jukwaani.
DSC_1416
Tuache sie kwa raha zetu.....Skylight Band ndio mambo yote...!!!
DSC_1424
DSC_1437
Usipime bwana.....Skylight Band ndio mpango mzima...!!!
DSC_1439
Mpiga Drumz wa Skylight Band Idrisa akifanya yake.
DSC_1454
Yachuma minataka mukanda ya chuma.....Mguu wa kushot mbele wa Kulia nyuma......Mashabiki wa Skylight Band wakichiziki na staili hiyo inayobamba kwa kasi.
DSC_1449
DSC_1370
Rappa Joniko Flower akisebeneka vilivyo kuwapa raha mashabiki wake.
DSC_1372
Baada ya wiki ndefu sasa ni muda wa ku-enjoy holiday na burudani ya Skylight Band......Wadau wakiwa wame-relax huku wakigonga vyombo taratibu.....!!!
DSC_1446
Mtangazaji wa Luninga namba moja la Vijana EATV, Adrian Hillary Stepp akishow love na mdogo wake.
DSC_1459
Digna Mbepera wa Skylight Band akishow love na shosti wake kipenzi.
DSC_1471
Wadau wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.
DSC_1473
DSC_1476
Usione kaloa jasho...hii yote ni Gwaride la Skylight Band, huna haja ya Gym hili ni zoezi tosha.
DSC_1478
Mduara ulihusika pia kama kawaida.
DSC_1499
Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo mbalimbali kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM, IFM, CBE na vingine kibao walijumuika na Skylight Band kusheherekea mapumziko ya mwisho wa mwaka.
DSC_1500
Walimwagaje radhi kwa raha zao....!!!
DSC_1502
DSC_1508

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K,O RAUNDI YA 4

$
0
0

Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es salaam Kaseba alishinda kwa KO ya raundi ya nne ya mpambano huo Picha nasuperdboxingcoach.blogspot.com
Kanda kabongo akimuhuumia Japhert Kaseba
Bondia Omari Nampekecha 'peche boy' kushoto akipambana na hasani Kiware wakati wa mpambano huo nampekecha alishinda kwa pointi picha nasuperdboxingcoach.blogspot.com
Kaseba akiwa na familia yake pamoja na mashabiki baada ya kushinda mchezo wake
Bondia Pendo Njau kushoto akiwa na bondia Llulu Kayage wakati wa mpambano huo
mashabiki wakiangalia mpambano
Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha na superdboxingcoach.blogspot.com
Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha na superdboxingcoach.blogspot.com

HAPPY BIRTHDY YA MAMAA WA MITINDO ASIA KHAMSIN IDAROUS YAFANA KWENYE KIOTA CHA NYUMBANI LOUNGE

$
0
0
DSC_1539DSC_1543
Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous, akizungumza machache kabla ya kukata cake kwenye mnuso wake wa kumbukumbu ya kuzaliwa iliyofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge.
DSC_1541
Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous jana alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na marafiki katika mnuso wa nguvu uliofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam. Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio katika mnuso huo wa nguvu.(Picha zote na MOblog)
DSC_1547
Aunty Asia Idarous akikata ji-cake lake la kutimiza miaka 54 ya kuzaliwa kwake kwenye mnuso wa nguvu uliofanyika Nyumbani Lounge.
DSC_1550
Kata Cake tule......asiyeimba hali...Happy Birthday dear Asia.....Happy Birthday to youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...!!! We Love Aunty Long Live and Stay Blessed.....Mwaaaaah...!!!
DSC_1553
Mkuu wa kaya ya Nyumbani Lounge Captain Gardner G. Habash alipewa heshima ya kuwa mtu wa kwanza kulishwa cake na Birthday Girl Bi. Asia Khamsin Idarous.
DSC_1575
Mama mwenye nyumba Lady Jay Dee akishow love na Aunty Asia Khamsin Idarous.
DSC_1554
Picha juu na chini ni ndugu, jamaa na marafiki wa Aunty Asia Idarous wakilishwa cake.
DSC_1555
DSC_1557
DSC_1559
DSC_1560
DSC_1561
DSC_1562
DSC_1563
DSC_1564
DSC_1565
DSC_1566
Paul Mashauri alikuwa miongoni mwa wadau waliojumuika na Mkongwe wa ubunifu wa mavazi Aunty Asia Khamsin Idarous kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.
DSC_1619
Mdau Moddy Bawazir naye aliwakilisha.
DSC_1558
Mbunifu wa Mavazi Martin Kadinda a.k.a Mzee wa Single Button naye alikuwepo.
DSC_1567
DSC_1568
DSC_1620
DSC_1582
Aunty Asia Khamsin Idarous akiserebuka na wadau ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge.
DSC_1584
Old is Gold na mimi nimo....Hapana chezea Mamaa wa mitindo.
DSC_1514
Mbunifu wa Mavazi Mustafa Hassanali na wadau wengine wakipata Ukodak na Aunty Asia Khamsin Idarous.
DSC_1532
Aunty Asia Idarous na Ukodak.
DSC_1526
DSC_1538
Aunty Asia Idarous akishow love na binti yake ndani ya nyumbani Lounge.
DSC_1521
DSC_1519
Thank you for coming......love you all....!!

Usaili wa Shindano la Vipaji kwa watoto la "MO Kids Got Talent 2013"

$
0
0
DSC_1678 (2)
Chief Judge wa Shindano la "MO Kids Got Talent", Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki wa usaili wa shindano hilo uliofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji Neema Theobald na kushoto ni msanii wa filamu nchini Hidaya Njaidi wakiwa meza kuu.
DSC_1672
Pichani juu na chini ni baadhi ya washiriki wakionyesha vipaji vyao mbele ya majaji.
DSC_1705
Binti huyu kipaji chake ilikuwa ni kuimba taarab.
DSC_1785
Mambo ya Alingo nayo yalihusika.
DSC_1797
DSC_1745
DSC_1768
Hapo sasa twende kazi.....!!!
A04A7088
Majaji wa shindano la "MO Kids Got Talent" wakishuhudia kipaji cha mmoja wa watoto wanaojua kuogelea akijitosa kwenye bwawa la kuogelea lililopo Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar.
A04A7095
Chief Judge, Salma Mziray, akizungumza na mmoja wa washiriki kabla ya kuonyesha kipaji chake.
DSC_1773
Pichani juu na chini ni baadhi ya watoto walioshiriki usaili huo hawakuondoka mikono mitupu walipewa zawadi ya madaftari pamoja na sabuni ya Unga ya kufulia MO Detergent.
DSC_1692 (2)
DSC_1756
DSC_1788
DSC_1802
DSC_1726
A04A7120
Meneja Mkuu Ledger Plaza Bahari Beach, Wissem Souifi (kulia) pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Fros Africa, Bw. Peter Sekasiko (katikati) wakijumuika na wazazi pamoja na familia zao kwenye fukwe za hoteli ya Ledger Plaza, Bahari Beach jijini Dar leo.

MOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINT NA KUIBUKA NA PIKIPIKI

$
0
0


Bondia Mohamed Matumla (kushoto) akimwadhibu Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano wao wa raundi kumi uliofanyika siku ya sikukuu ya krismas na kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9. Matumla alishinda kwa pointi mpambano huo na kuibuka na bodaboda 
Bondia Mohamed Matumla kushoto akipambana na Nassibu Ramadhani 
Bondia Lulu Kayage (kushoto) akipambana na Mariam Abdallah 

l
Bondia Lulu  na Mariam 
Bondia Hamis Ajari kushoto akipambana na Cosmas Cheka 

Bondia Sadiq Abdulazizi kushoto akipambana na Juma Fundi 
Baadhi ya mashabiki waliouhuria mpambano huo uliokuwa mkali na kutoa burudani ya aina yake kwa mashabiki nchini.
picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

SIKU ZA MWANZO ZA NAPE NNAUYE

$
0
0
Maisha ni safari ndefu..Siku za mwanzo za mwanasiasa Nape Nnauye

MSONDO NGOMA WAENDEREA KUITEKA TTC CHAN'GOMBE

$
0
0
Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma wakitoa burudani kwa mashabiki walioudhulia onesho lao lililofanyika TTC Chang'ombe jumamosi kutoka kushoto ni Eddo Sanga,Othumani Kambi , Shabani Dede na Hasani Moshi 
Wapuliza ara wa bendi ya Msondo ngoma wakiwajibika wakati wa onesho lao kutoka kushoto ni Shabani Lendi,Hamisi Mnyupe na Romani Mng'ande 
Wapiga magita wa msondo ngoma wakifulumusha magita hayo wakati walipokuwa wakitoa burudani kutoka kushoto ni Abdul Ridhiwani na Mustafa Pishuu picha nawww.burudan.blogspot.com

ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO

$
0
0


Mwimbaji mahiri wa nyimbo za kiroho a.k.a Injili,na anaetamba na wimbo mpya wa Facebook,Rose Muhando akiwa sambamba na skwadi lake zima wakilishambulia jukwaa vilivyo jioni ya leo ndani ya uwanja wa Mkwakwani wakati wa muendelezo wa tamasha la Krisimasi lililofanyika leo Mkoani Tanga.Tamasha hilo ndio kwa mara ya kwanza linafanyika mkoani humo,limezindundiliwa jijini Dar siku ya Krisimasi ndani ya uwanja wa Taifa na kuhudhuriwa na watazamaji lukuki.Tamasha hilo baada ya kufanyika mkoani Tanga,kesho litafanyika jijini Arusha na baadae mkoani Dodoma likiwajumuisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za Injili.

 Pichani kulia ni Mwimbaji wa kimataifa wa nyimbo za kusifu na kuabudu kutoka nchini Zambia,Epfrahim Sekeleti akiimba pamoja na mwimbaji mwingine mahiri wa nyimbo injili hapa nchini,Bon Mwaitege pichani shoto.

Moureen Julius (12) aibuka SUPA STAA wa shindano la “MO Kids Got Talent 2013″

$
0
0
DSC_0018
Kijana Salum Nyangumwe (17) mshindi wa pili aliyeimba wimbo wa My Number One wa Msanii Nasib Abdul a.k.a Diamond wakati wa fainali za kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la ”MO Kids Got Talent 2013" lililofanyika mwishoni mwa Juma kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Na.Mwandishi wetu.
Mtoto Moureen Julius(12), amejinyakulia kitita cha shilingi Milioni tano katika fainali za Shindano la “MO KIDS GOT TALENT 2013” lililofanyika kwenye hoteli ya Ledger Plaza Bahari beach lililoanza tarehe 25 hadi tarehe 28 mwezi huu ambapo fainali zilifanyika.
Shindano hilo lilijumuisha watoto zaidi ya mia mbili ambapo kila mmoja alijipatia nafasi ya kuonesha kipaji chake vikiwemo kuogelea, kuimba, kucheza, karate na vingine vingi.
Watoto 15 walichuana katika nusu fainali na kuchujwa hadi kufikia watoto watano na mwisho wa siku kupatikana SUPA STAA Moureen Julius aliyewafunika wenzake kwa kipaji alichonacho.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangazwa mshindi wa kwanza aliyejinyakulia kitita cha sh.millioni tano, Mtoto Moureen Julius alisema pesa hizo alizoshinda atazitumia kwa kulipia ada na vifaa vingine vya shule.
Shindano hili la "MO KIDS GOT TALENT 2013" liliandaliwa na Frost Africa na kudhaminiwa na Mohammed Enterprises Tanzania Ltd. (MeTL) Group.
DSC_0030
Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12) akionyesha kipaji chake cha kucheza kwenye fainali za shindano hilo.
DSC_0039
Pichani juu na chini washiriki wa shindano la "MO Kids Got Talent 2013" wakiendelea kuonyesha vipaji vyao wakati wa fainali za shindano hilo.
4
Mtoto mwenye kipaji cha kuimba na kucheza.
DSC_0026
Jaji Hidaya Njaidi akitoa maoni yake kwa washiriki (hawapo pichani) waliokuwa wakichuana kuwani Shilingi Milioni 5 za Kitanzania zilizotolewa zawadi na Kampuni ya MeTL Group.
DSC_0070
Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko ambao ndio waandaji wa mashindano hayo na Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali (kulia) wakifuatilia kwa umakini mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa Juma.
DSC_0051
Jaji Mkuu wa shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Salma Mziray akitoa maoni yake kwa washiriki waliofanikiwa kuingia tano bora.
DSC_0138
Pichani Juu na chini ni baadhi ya washiriki waliofanikiw kuingia tano bora wakionyesha manjonjo yao kwa mara nyingine tena kabla ya kutajwa mshindi wa shilingi Milioni tano kutoka Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd. MeTL Group lilifanyika mwishoni mwa Juma kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar.
DSC_0186DSC_0206
Jaji Kiongozi wa shindano la "MO Kids Got Talent 2013" akiteta jambo na Raisi wa wanafunzi, Allan Lucky a.k.a SKONGA kabla ya kutangaza mshindi.
DSC_0210
Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer na Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko wakionekana kufurahishwa na vipaji vya watoto hao.
DSC_0228
DSC_0245
Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko, akitoa nasaha kwa washiriki walioingia tano bora ambapo amewata wazazi kuhakikisha wanaendeleza vipaji vya watoto.
DSC_0248
Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer, akiwapongeza vijana walioingia tano bora.
DSC_0332
Tano Bora wakiwa na matumbo joto.
DSC_0253
Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer, akitoa nasaha zake ambapo amesema mashindano haya yatakuwa yakifanyika kila mwaka nchini lengo ni kuibua vipaji vya watoto na vijana.
DSC_0340
Mshindi wa tano Gloria Collin (10), akipokea maboksi ya zawadi zilizotolewa na kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL) kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko ambao ndio waandaji wa mashindano hayo.
DSC_0393
Jaji Kiongozi wa shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Salma Mziray akitoa shukrani kwa kampuni ya MeTL kwa kuweza kuibua vipaji vya watoto na vijana.
DSC_0405
Na mshindi niiiiiiiiiiiii.....!!!! Raisi wa wanafunzi, Allan Lucky a.k.a SKONGA akitangaza mshindi.
DSC_0414
Kilio cha furaha kwa Moureen Julius.
DSC_0416
Wow.....!!!...Hongera Mwanangu.
DSC_0427
Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer, akikabidhi kitita cha Shilingi Milioni tano za Kitanzania kwa Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12). Wanaoshuhudia tukio hilo ni baba mzazi wa Moureen pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko ambao ndio waandaji wa shindano hilo.
DSC_0435
Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko, akiwa ameongozana na Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12) huku nyuma yao wakiwa na ulinzi mkali kuelekea kuzungumza na waandishi wa habari.
DSC_0457
Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12), akifanya mahojiano na waandishi wa habari. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer.
DSC_0056
DSC_0195
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria hafla hiyo.

SKYLIGHT BAND IN MWANZA

MSAADA TUTANI: SHUKURANI TOKA KWA FAMILIA YA MRUMA

$
0
0
Familia ya Mruma ya Dar es Salaam na Ugweno, Mwanga inatoa shukurani nyingi
kwa ndugu,jamaa,marafiki, majirani na Watanzania wote waliojitokeza kuwa
nao kwa njia tofauti katika kipindi cha msiba wa mtoto wao mpendwa Jerry
ambaye alifariki dunia Nairobi tarehe 17 Novemba na kuzikwa Dar es Salaam
tarehe 26 Novemba 2013.



Ni vigumu kutoa shukurani hizi kwa majina. Kwa njia ya kipekee, tunaomba
tuwataje wachache kwa niaba ya wote kama ifuatavyo:
Mheshimiwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Balozi wa Tanzania Kenya Mh. Dr. Batilda Burian na wafanyakazi
wa ubalozi, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mfuko wa Taifa wa
Hifadhi ya Jamii (NSSF), Kampuni ya magazeti ya Serikali ( Daily News na
Habari Leo); Uongozi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha USIU, Nairobi; Lee
Funeral Home, Nairobi; Bwana na Bibi Mutinda wa Athi River, Nairobi; Bwana
na Bibi Ouma wa Kitengela, Nairobi; Hoteli ya Ololoitikoshi
Resort, Kitengela; Mchungaji Kiongozi na wazee wa Usharika wa Mbezi Beach
wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jumuiya ya Betheli,
Mbezi Beach; Mheshimiwa CD Msuya; Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Afrika
Mashariki - Mh. Angela Kizigha, Mh. Nderakindo Kessy, Mh.Shyrose Bhanji,
Bwana na Bibi Kachenje wa Mbezi Beach; Swissport Dar es Salaam; Qnet
Kenya; Love Titans - Nairobi, Kenya; Kibosho Girls Reunion, Mbezi Beach Family.

 
Katika kipindi kama hiki ni rahisi kuishiwa na maneno ya kuelezea faraja
tuliyopata kwa namna mlivyokuwa nasi wakati wote na pia mlivyotuombea.
Maneno pekee yanayokuja haraka ni AHSANTENI SANA, MUNGU AENDELEE
KUWABARIKI.









UTEUZI WA IGP MPYA NA NAIBU WAKE LEO

$
0
0
 IGP MPYA ERNEST MANGU
NAIBU WA IGP ABDULRAHMAN KANIKI
Viewing all 4405 articles
Browse latest View live


Latest Images