Quantcast
Channel: MRISHO'S BLOG
Viewing all 4405 articles
Browse latest View live

MAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI

$
0
0
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na John Banda wa Pamoja Blog.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Bi. Lilian Simon mmoja ya wakina mama walionyonyesha watoto wao kwa kufuata maelekezo ya wataalamu na kuwezesha watoto wao kuwa na afya bora na kukua vizuri. 
 Kikundi cha ngoma za asili ya kigogo cha zepisa Hombolo kikitumbuiza wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.
 Vijana wa bendi ya muziki ya Winners ya Mjini Dodoma wakionesha ufundi wa kusakata muziki wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.
 Bi. Lilian Simon akiwa amembeba Mwanae Dorcas David (3)  akipongezwa na Vijana wa bendi ya muziki ya Winners alipotoa ushuhuda wa faida ya kumnyonyesha mtoto wake maziwa ya mama pekee hadi alipofikisha umri wa miezi sita na baadae kuendelea hadi miaka miwili wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma
 Bi. Judina Deus Malya akiwa na watoto wake mapacha Noel na Nance Malya (4) mara baada ya kutoa ushuhuda wa faida ya kuwanyonyesha watoto wake maziwa ya mama pekee hadi walipofikisha umri wa miezi sita na baadae kuendelea hadi miaka miwili wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma
 Baadhi ya Wananchi wa Dodoma waliofika kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gallawa (hayupo pichani) wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa mwishoni mwa wiki.
 Picha ya pamoja baina ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (katikati), viongozi wa Mkoa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wamama walionyonyesha watoto wao kwa kufuata masharti ya wataalamu na watoto wao wenye afya bora baada ya kumalizika kwa Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa mwishoni mwa wiki kwennye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani humo.
Picha ya pamoja baina ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma, viongozi wa Mkoa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambao kwa pamoja wameshirikiana katika maandalizi na  kufanikisha  Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa yaliyohitimishwa mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani humo.

NCCR-MAGEUZI WAANZA KUSHAMBULIA JIMBO LA VUNJO,WAWATAMBULISHA WAGOMBEA WA NAFASI YA UDIWANI

$
0
0
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa ,Hemed Msabaha akizungumza wakati wa mikutano wa kutamburisha wagombea wa nafasi ya udiwani inayofanyika katika jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya viongozi wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo wa kiwa katika moja ya mikutano hiyo kata ya Makuyuni.
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi taifa na Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ,Bw Hamis Athuman akitoa salamu za mwenyekiti huyo wakati wa mkutano wa utamburisho wa wagombea wa nafasi za udiwani kupitia chama hicho.
Baadhi ya wakazi wa kata ya Makuyuni wakiwasikiliza viongozi wa chama hicho.(hawako pichani).
Aliyekuwa kada wa Chama cha TLP,Stanley Temba akiwa ameibukia katika jukwaa la NCCR-Mageuzi akizungumza katika moja ya mikutano ya Utamburisho wa wagombea wa nafasi ya Udiwani katika kata zilizoko ndani ya jimbo la unjo.
Aliyekuwa Diwani kupitia chama cha TLP,Yolanda Lyimo akizungumza katika jukwaa la chama cha NCCR-Mageuzi.
Yolanda Lyimo akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya njia Panda.
Baadhi ya wananchi katika jimbo la Vunjo wakiitikia salamu za vyama vinavyounda UKAWA.
Kikundi cha sarakasi kikitoa burudani katika mikutano hiyo.
Baadhi ya wananchi katika kata ya Njia Panda wakifuatilia mkutano wa hadhara uliolenga kumtamburisha mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata hiyo.
Baadhi ya wananchi katika kata ya Njia Panda.
Viongozi wa chama cha NCCR-Mageuzi wakicheza mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Njia Panda.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Kipindi cha JUKWAA LANGU Jumatatu wiki hii (Aug 10, 2015)

$
0
0
Katika kipindi cha JUKWAA LANGU wiki hii, tulijadili kuhusu kung'atuka uongozi kwa Prof Ibrahimu Lipumba na pia kukua kwa ufuasi kwa mgombea uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Edward Lowassa.
Pia, hotuba ya Zitto Kabwe huko Iringa, na mengine mengi
Ungana na Dj Luke Joe (wa hapa), Rose Chitallah, Shamis Abdul (wa hapa) na Mubelwa Bandio (wa hapa) toka Kilimanjaro Studio, Beltsville Maryland na Jeff Msangi (msome hapa) kutoka Toronto Canada kujadili haya.
Pia, kulikuwa na simu za wasikilizaji kadhaa
KARIBU

JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanga nyaraka vizuri kwenye meza kuu, kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kuanza leo, katika Ukumbi uliopo jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika ukumbi uliopo jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo Agosti, 11, 2015 katika ukumbi wa Jengo la White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kuzungua kikao hicho. Kushoto  ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula
Kikao cha Kamati Kuu kikiendelea
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano CCM, Daniel Chongolo, baada ya kuwasili kwenye jengo la White House kwa ajili ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo
 Mjumbe wa Kamati Kuu, Adam Kimbisa akiwasalimia wajumbe wenzake ukumbini kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Shamsi Vuai Nahodha, Zakia Meghji na Dk. Salim Ahmed Salim
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Huseein Mwinyi, Samia Sluhu Hassan ambaye pia ni Mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM na Ameir Pandu Kificho wakiwa ukumbini kabla ya kikao hicho kuanza
 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai akijadili jambo na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib ukumbini. kushoto ni Katibu wa NEC, Ushirikiano wa Kimataifa, Dr. Asha-Rose Migiro
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Zakiah Meghji na Dk. Asha-Rose Migiro wakibadilishana mawazo ukumbini
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi akimsalimia mjumbe mwenzake Dk. Hussein Mwinyi ukumbini.
Baadhi ya  Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiwa ukumbini kabla ya kikao kuanza
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa na Mzee Steven Wassira wakibadilishana mawazo ukumbini
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa na Dk. Emmanuel Nchimbi wakibadilishana mawazo ukumbini
 Katibu wa Sekretarieti ya CCM, Anamringi Macha, akiratibu mambo kabla ya kikao hicho kuanza
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Maua Daftari na Mgombea Mwenza wa CCM, Samia Suluhu wakijadiliana mambo ukumbini
 Wajumbe wa Kamati Kuu, Katibu w NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakia Megji walishauriana jambo kabla ya kikao hicho kuanza 



Maofisa wa CCM wakiwa katika shughuli mbalimbali ofisini leo wakati kikao cha Kamati Kuu ya CCM kikiendelea.

Baada ya kikao hicho kuanza Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alitoka ukumbini na kuwaambia  Waandishi wa Habari kwamba, moja ya maazimio ya Kikao hicho ni kwamba kura za maoni zitarudiwa keshokutwa Alhamisi, katika majimbo matano ya Ukonga, Kilolo, Busega, Rufiji na Makete  ambako yamejitokeza malalamiko na kufika katika vikao vya Chama, kuhusiana na kura za maoni za awali. 

Picha zote na Bashir Nkoromo

GARI LAACHA NJIA NA KUANGUKA KAKONKO

$
0
0
 Gari lenye usajili  T 896 BFB likiwa limeacha njia na kuanguka Wilayani Kakonko Mkoani  Kigoma , ambalolilikuwa limesheheni mzigo kupita uwezo wake na mizigo hiyo  kuhamishiwa   katika gari jingine. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

Wahusika wakifunga mizigo hiyo japo haikufahamika mara moja nimizigo gani.
 Mizigo hiyo ikihamishiwa katika Gari lenye usajili  T 267 DCW ili waweze endelea na safari hiyo.

MATUKIIO NA PICHA MITAA MBALIMBALI

$
0
0
 Umati wa watu uliojaa mtaani wakishuhudia bint mwenye matatizo ya akili Sinina Maliki akipigwa   na bint wa mitaa hiyo ya Katandala eneo la kibirizi Asha Kigwiza , Mkoani kigoma. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
  Sinina Maliki akiwa ameshikiliwa na wasamalia wema baada ya kuchezea kipigo na walio mshika bin huyo nawao walichezea kipigo toka kwa bint wa miataa hiyo Asha Kigwiza
 Wananchi wa Kijiji cha Usindi Wilaya ya Kaliua wakilitazama tela la Gari lenye kichwa chenye namba za usajili T282 ALM la kampuni ya vinywaji aina ya kokakola



Kijana Eflahim Maksoni alitembea juu ya Reli akiwa amepanda baiskeli maeneo ya Nguruka Mkoani Kigona
 Baadhi ya Abiria wakiteremka toka ndani ya Basi la Saratola likitokea Nguruka Kigoma na kushushia kwenye Kituo kipya cha mabasi kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma
kijana mwendesha baiskeli akiwa amewapakia watoto wawili wakiwa katika staili maeneo ya Nguruka Relini wakielekea majumbani ambapo majina ya haya kupatikana mara moja
 Wafanya biashara wa chunvi wakiwauzia Abiria waliokuwa wakiwafiri na Basi lililokuwa likitoka Nguruka kuelekea Kigoma


 Mwenyekiti wa Mtaa Sido na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Kataa Murubona akiwa na wafuasi wake juzi  waliomsindikiza Ofisi ya chama Wilaya iliyopo kataa ya Kusenga wilaya ya Kasulu Mkoa wakitoka kupeleka malalamiko baada ya kumshinda mwenzake katika kura za maoni ambapo yeye alipata kura 183 na mpinzani mwenzake kupata kura 139 katika kinyanganyiro kura za maoni na hatimaye ushindi kupewa mwenzake
 Wakichota maji eneo la Kaliua katika kituo cha mabasi
TEMBELEA UJIJIRAHAA BLOG
Wananchi wakikata  tiketi katika kituo kipya cha Stendi ya mabasi ya Mikoani kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma, ambapokuingia huingia na kutoka huwalazimu kutowa sh. 200.

UNITED BANK FOR AFRICA TANZANIA RECOGNIZES BEST EMPLOYEE

$
0
0
EMPLOYEE OF THE QUARTER-3
Relationship Manager Nicholaus Shimba (right) receiving his certificate from the COO Mr. Chris Byaruhanga (left) in recognition of his significant performance in the second quarter.
EMPLOYEE OF THE QUARTER-2
Relationship Manager Nicholaus Shimba giving a word of thanks after receiving his certificate in recognition of his significant performance in the second quarter.

Pic 3
Fellow staffs look on in joy for the overwhelmed Relationship Manager Nicholaus Shimba (right) receiving his certificate from the COO Mr. Chris Byaruhanga (left).
Pic 2
One of the staff taking an autograph enjoying the moment with the winner of the employee of the quarter Nicholaus Shimba (right).
Pic 1
A cross section of employees enthusiastically listening to the speech of the MC of the day M/S Queen Odunga the Customer Service Quality Officer not in pictures as she announces the employee of the second quarter.
Recognizing staff performance is very important, United Bank for Africa Tanzania is making sure that employees have a very conducive and motivated working environment.
Following the employee’s recognition scheme that aims at recognizing and rewarding examples of high achievement and desirable behavior, encourage excellence and commitment from employees and raises the high morale of employees by showing appreciation of their efforts, Mr. Nicholaus Shimba was announced on Friday as the employee of the second quarter for April to June 2015.
“We take great pleasure in recognizing Nicholaus Shimba as the United Bank for Africa Tanzania employee of the quarter for the period of April through June 2015.” The Chief Operating Officer Mr. Chris Byaruhanga said when handing over the award to the winner. He continued to say “the selection was based on Nicholaus’s demonstrated, sustained, superior performance in the execution of his duties.”
“I am so overwhelmed; I thank you my fellow staff for this achievement, if it were not for the dedicated Wholesale Banking team that I work with, this wouldn’t have happened. He continued to commend the bank for recognizing his efforts “United Bank for Africa is a very good employer they motivate us to do better thus performing with great zeal. Let’s continue to support each other so that the time comes when we are all up to our game.” Advised the employee of the second quarter winner, Nicholaus Shimba, Relationship Manager Wholesale Banking…
This scheme is intended to create a positive working environment, show employees how much they are valued and appreciated, aid in retention and recruitment, and foster a spirit of healthy competition.
“Please join me in congratulating Mr. Nicholaus Shimba and be encouraged to be one of the employees of the next quarter, to get the sport award and be the team of the month in the coming awards. Let’s be recharged, work hard and deliver results. Together we can make things happen!” Urged Mr. Mathias Ninga the Head of Human Capital Management and Resources…
The rest of the staff were happy with the selection conveying that Nicholaus is a very hardworking and dedicated chap with a systematic way of handling his responsibilities, “you see him struggle with his team to retain our customers and making things happen in a timely manner. He really deserves the recognitions” they acknowledged.
The occasion ended with the motivated employees asking the winner to sign autographs in their notebooks as way of appreciating this achievement. Working hard comes with a reward and with United Bank for Africa it is an affirmative recognition.

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45

$
0
0
modewjiblog logo
Baada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.

Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.
Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.
Kwa mawasiliano zaidi tutumie email: info@modewjiblog.com
Imetolewa na Operation Manager, Zainul Mzige.

SIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR

$
0
0


Maandamano  yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi
 
Baadhi ya vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishw  jijini Dar es Salaam. Mashirika mbalimbali  ya mataifa yanayofanya shughuli za vijana ni kamaUNFPA, IYF, UNIC, ILO, RESTLESS DEVELOPMENT, YUNA, AMREF, MARIE STOPES, pamoja na PSI.(Picha zote na Geofrey Adroph)
 
 Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi na wapili kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bibi. Natalia Kanem.
 
 Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel pamoja viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja  jijini Dar es Salaam.
 Viongozi katika meza kuu wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja  jijini Dar es Salaam.
  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem akizungumza na vijana wakati wa Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Katika hotuba yake aliweza kuzungumzia maswala ya watoto wa kike kubeba mimba wakiwa na umri mdogo ambao unapelekea kuacha masomo kutokana na ujauzito huo pia aliwasisitiza vijana kuwa na umoja kwani ndio nguvu kazi ya Taifa.
Mwendeshaji wa Sherehe hiyo Bi. Usia Nkhoma ambaye ni Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC)  akizungumza jambo na  vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi(wa nne kutoka kulia) akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.Wa tatu kutoka Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa pili kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.
 Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akitoa shukrani kwa wawakilishi wa Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa pili kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwahutubia vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake aliwasisitiza vijana kujitokeza katika uchaguzi unaotegemea kufanyoka mwezi wa kumi mwaka huu ili kuchagua viongozi makini watakaoweza kutetea masuala ya vijana na pia aliwasisitiza vijana kufanya kazi za kujitolea.
 Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum akiwasalimia vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Bw. Hesein Melele(wa kwanza kuli) kijana ambaye ni mwakilishi wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA) akiwasilisha maazimio yaliyofikiwa na vijana wakati wa kongamano lililofanyika Agosti 10 mwaka huu kujadili ujumbe wa siku ya kimataifa ya vijana duniani na kuandaa maazimio yaliyowasilishwa kwa mgeni rasmi leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.
 Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani, Tatu Ahmed akitoa shukrani kwa wageni waalikwa waliofika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.
Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser akiwatolea ufafanuzi vijana waliofika kwenye banda la Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani  Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akimsikiliza kwa makini Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser alipotembelea kwenye banda la Umoja wa Mataifa
 Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la Kazi Duniani (ILO), Bw. MacDonald Lanzi (wa pili kutoka kulia) akimfafanulia jambo Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel. Wa pili kushoto ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa kwanza kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.
Mshauri na Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la Kazi Duniani (ILO), Bw. Lawrence Ambokile(mwenye koti jeusi) akitoa ufafanuzi kwa Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipotembelea banda ilo
 Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro
 Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro
Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa Tanzania (UNIC), Stella Vuzo(wa kwanza kushoto), Meneja mradi wa ICS Bi. Imisa Masinjila(wa pili kutoka kushoto), Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara hiyo Prof. Hermas Mwansoko(wapili kutoka kulia) pamoja na Imisa Masinjila wakizungumza jambo maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum(wa kwanza kushoto) pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem(katikati) wakizungumza jambo na  Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi  wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya vijana waliofika kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
  Bw. Hesein Melele(katikati) kijana ambaye ni mwanachama wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA) akiwa kwenye picha ya pamoja na vijana wenzake ambao ni Rehema Pascal(kushoto) pamoja na Felister
  
 
 
 
 
 
 
 

 Vijana kutoka vikundi mbalimbali wakitoa burudani wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 
 
 
Vijana wakifuatilia kwa makini matukio mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

JK AONGOZA KIKAO CHA NEC KWA SIKU YA PILI KUPATA MAJINA YA WAGOMBEA

$
0
0
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali. Kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein. na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein wakati akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
 Wajumbe wakimsikiliza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete wakati akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia), Mgombea Urais mteule kwa tiketi ya CCM, John Magufuli na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai, wakifuatilia mambo mbalimbali, wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali.
 Wajumbe wa NEC, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi na Mwenyekiti wa Jumuia hiyo, Sophia Simba, wakijadili jambo kabla ya kikao cha NEC, kuanza leo katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
 Wajumbe wakiperuzi makabrasha, wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali
 Wajumbe wakiperuzi makabrasha, wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali
 Wajumbe wakiperuzi makabrasha, wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kupitisha majina ya walioomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika majimbo mbalimbali
 Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akiendesha kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), leo Agosti 13, 2015, wakati Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete apilokuwa hajawasili umbini. Pamoja naye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 Wakuu wa vyombo vya habari vya CCM, Angel Akilimali (Uhuru FM) na Ramadhani Mkoma Uhuru Publications Ltd), akiwa ukumbini wakati kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kikiendelea katika Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma leo Agosti 13, 2015.
Ofisa wa CCM, makao Makuu, Edward Mpogolo (kulia) wakitazama majina yanayopitiwa na wajumbe wa NEC, wakati kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kikiendelea katika Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma leo Agosti 13, 2015. Picha zote na Bashir Nkoromo,

SUGU, NATURE, PROFESSA J KUFANYA SHOO YA KUHAMASISHA MASHABIKI KUPIGA KURA

$
0
0
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiongea na waandishi wa habari ili kuwaelezea onyesho lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015. Pembeni ni Joseph Haule “Professa J”, Juma Kassim “Sir Nature” pamoja na Msagasumu.
 Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule “Professa J” akionyesha msisitizo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya onyesho lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015. 
 Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Juma Kassim “Sir Nature” akionyesha msisitizo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya onyesho lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25.
Tanzania Oyeeeee! Tanzania Oyeeee! ndiyo wasanii hawa walivyokuwa wakitia msisitizo.
 Baadhi ya wasanii watakaowasha moto Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Mwandishi wa habari wa Times Fm, akifanya mahojiano na Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule “Professa J”.
Na Mwandishi Wetu.
Wasanii nyota wa muziki wa kizazi kipya na baadhi ya nyota wa Bongo Movie watafanya onyesho la bure Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25.
Wasanii hao wataongozwa na Mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi “Sugu” na nyota wengine kama Juma Kassim “Sir Nature”, Joseph Haule “Professa J” na Kara Jeremiah.
Wengine ni watakaopanda jukwaani siku kuanzia saa 8.00 mchana ni Msaga Sumu, Baba Haji na waigizaji nyota wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper na Auntie Ezekiel.
Akizungumza jijini jana, Professa J alisema kuwa sababu kubwa ya kufanya onyesho hilo ni kutoa elimu kwa mashabiki wao kuhusiana na zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi bora wan chi hii wataodumu kwa miaka mitano.
Professa alisema kuwa wanataka kutoa mwamko kwa mashabiki wao kushiriki kwa wingi katika zoezi hilo ili kutumia demokrasia yao kumchagua kiongozi wanayemtaka.
“Tumejiandaa vilivyo kutoa elimu, lengo ni kuwahamasisha mashabiki wetu kufanya kile wanachokiona kinafaa ili kutimiza malengo yao ya kikatiba,” alisema Professa J.
Alisema kuwa mbali ya Dar es Salaam, onyesho hilo pia litafanyika katika mikoa mengine mbalimbali.
Akizungumza katika mkutano huo, Nature aliwaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi ili kupata elimu hiyo ambayo wasanii wameamua kuitoa.
“Hii siyo kampeni ya kisiasa, sisi ni wasanii tumeamua kujitolea kufanya kazi ambayo wasanii wengi duniani wameifanya, lazima tutumie kazi yetu kutoa elimu kwa mashabiki ili wajue wajibu wao katika mambo mbali mbali pamoja na uchaguzi mkuu,” alisema Nature.
--

SIMUTV: Mbowe adaiwa kuuza chama bei chee, fahamu mengi kuhusu hili na mengine mengi kupitia dondoo za magazeti hapa Simu.tv .

NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHANGIAJI WA BIMA

$
0
0
 MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti
 MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti, akifafanua jambo wakati alipokuwa akiwasilisha mada juu ya mpango wa uchangiaji binafsi, KIKOA, wakati wa warsha ya siku moja iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF, na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Kurasini jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Bloggers wakimsikiliza  Mkurugenzi wa huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti, alipokuwa akiwasisilisha mada iliyohusu mpango wa uchangiaji binafsi, KIKOA kwenye warsha ya siku moja iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Kurasini jijini Dar es Salaam.
  MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti,akiwasilisha mada juu ya mpango wa uchangiaji binafsi, KIKOA, wakati wa warsha ya siku moja iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF, na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Kurasini jijini Dar es Salaam.
 
 Baadhi ya Bloggers wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye Warsha hiyo
 Wadau wakifuatilia jambo
 Bloggers wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye warsha hiyo 
  Baadhi ya Bloggers wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye Warsha hiyo
Blogger Mzee Kitime akichangia jambo katika semina hiyo ya iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Kurasini jijini Dar es Salaam.

TaSUBa watambulisha rasmi Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo

$
0
0
DSC_0016Mwenyekiti wa Kamati kuu wa tamasha la 34 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, Bw. John Mponda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) katika ukumbi wa MAELEZO mapema leo 8.14.2015. Wengine ni Mwalimu Christa Kombo ambaye ni Mwenyekiti wa Maonyesho (kulia) na kushoto ni Bw. Frank Sika ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Majukwaa na Ufundi wa tamasha hilo ambalo linatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
(TaSUBa)
945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU .TAMASHA LA 34 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO.
Tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni Bagamoyo liliasisiwa mwaka 1981 na Chuo cha Sanaa Bagamoyo ambacho kwa sasa ni Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo. Lengo kuu la Tamasha kwa wakati huo ilikuwa ni kuwapa nafasi wanafunzi wa chuo cha sanaa kuonyesha kwa vitendo yale waliojifunza kwa mwaka mzima kwa kuwashirikisha wakazi wa Bagamoyo, baada ya Tamasha hilo kufanikiwa uongozi wa chuo uliamua tamasha hilo lifanyike kila mwaka kwa kushirikisha Vikundi mbalimbali vya ndani na nje ya nchi ili kubadilishana Uzoefu na hivyo kujizolea umaarufu ndani na nje ya Tanzania.
Tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni Bagamoyo mwaka huu litafanyika kwa mara ya 34 kuanzia tarehe 21-27 Septemba katika kumbi na viunga vya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ambao ndio wenyeji na waandaaji wa tamasha hilo kongwe Tanzania.
Tamasha la mwaka huu linabeba Kauli mbiu isemayoSANAA NA UTAMADUNI KATIKA UCHAGUZI HURU NA WA AMANI’Aidha kutakuwa na mada ndogondogo zitakazotolewa kupitia kongamano na warsha zitakazohusu Haki za binadamu, Rushwa na kupinga Mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)
Tamasha la mwaka huu litahusisha Ngoma za Asili, Maigizo, Sarakasi, Mazingaombwe, Muziki wa kisasa na asili, Sanaa za Ufundi na bidhaa mbalimbali.
Hadi sasa jumla ya vikundi 48 kutoka ndani na nje ya Tanzania vimethibitisha kushiriki,ambapo vikundi 43 ni kutoka ndani ya Tanzania na vikundi 5 kutoka nchi za Kenya, Namibia, Afrika Kusini, Korea na Congo.
Hadi kufikia sasa hakuna mdhamini yoyote aliyejitokeza kudhamini Tamasha hili na hii imepelekea vikundi kujigharamia na TaSUBa kugharamia Uendeshaji,hivyo Taasisi inatoa wito kwa wadau mbalimbali wa sanaa,Makampuni,Taasisi za serikali na zisizo za serikali kujitokeza kudhamini tamasha hili muhimu kwa mustakabali wa sanaa na utamaduni wa Mtanzania.
Kwa yeyote anayehitaji kuchangia tamasha hili anaombwa awasiliane na Kamati ya maandalizi kwa mawasiliano hapo chini.
Mtendaji Mkuu, TaSUBa, S.L.P 32, BAGAMOYO, Tanzania, Simu.: 0255 023 2440149
Barua pepe: bagamoyofest@gmail.com, Tovuti: www.tasuba.ac.tz
Namba za Simu: +255(0) 754 310 425, +255(0) 787 542 242 na +255(0) 655 840 405
ASANTENI.
___________
JOHN MPONDA
M/KITI WA TAMASHA
14/8/2015
DSC_0029Mwenyekiti wa Kamati ya Maonyesho wa TaSUBa, Mwalimu Christa Kombo akifafanua jambo juu ya tamasha hilo kwa mwaka huu litakavyokuwa huku mambo mbalimbali yakiwa yamezingatiwa ikiwemo ubora wa vikundi na wasanii kutoka ndani na nje. Ambapo pia aliweza kufafanua juu ya maadili ya Sanaa katika tasnia ya burudani kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani). anayemfuatia ni Mwenyekiti Kamati Kuu ya Tamasha hilo la 34, Bw. John Mponda.
DSC_0040Mwenyekiti wa Kamati ya Majukwaa na Ufundi wa TaSUBa, Frank Sanga akielezea idadi ya vikundi vitakavyoshiriki na namna TaSUBa ilivyojipanga katika kuboresha utamaduni kupitia tamasha hilo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani)..

RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA KONGAMANO LA PILI LA DIASPORA HOTELI YA SERENA

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin wakati alipowasili hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kuhudhuria hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Kushoto mwenye kanzu ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya AICC
Rais Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Wengine kutoka kulia ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya AICC, Bw. Matheu Lamolle Mtafiti wa Massoko wa Taasisi ya International Trade Centre (ITC) ya Uswisi ambao ndio waliokuwa wadhamini wakuu wa kongamano hilo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu  Zanzibar (Utawala Bora)  Mhe Dk Mwinyihaji Makame, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania DMV Marekani  Bw. Iddi Sandaly, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula na Bi Mariam Mungula wa Diapora London
MC wa hafla hiyo ambaye ni Mratibu wa Dawati la Diaspora katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bi Suzana Mzee akiwa kazini
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wana Diaspora wa London na Maputo
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Disapora kutoka kampuni ya simu 
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Mwanahabari wa kamati ya Diaspora na blogger maarufu nchini Maggid Mjengwa na mdau
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Mdau wa Diaspora akichukua taswira ya hafla
Rais Kikwete akihutubia wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  wakimsikiliza Rais Kikwete katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake
Rais Kikwete akisisitiza umuhimu wa wana Diaspora kuwekeza nyumbani
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Rais Kikwete akipongezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu  Zanzibar (Utawala Bora)  Mhe Dk Mwinyihaji Makame, baada ya hotuba
Rais Kikwete akitoa hati kwamwakilishi wa kampuni ya HUWAWEI ambao ni  wadhamini wa hafla hiyo
Hati kwa mdau mdhmini
Hati ya udhamini kwa PPF inayopokewa na Bi Lulu

Hati ya udhamini kwa NIC
Hati kwa mdau
Hati kwa mdhamini
Hati kwa mdhamini
Hati kwa Mamlaka ya Bandari
Hati kwa Shirika la Nyumba
Hati kwa mdhamini
Hati kwa Azania Bank
Hati kwa mdhamini
Hati kwa mdhamini toka Coca Cola
Hati kwa mdhamini
Hati kwa mdhamini toka Clouds FM
Hati kwa mdhamini
Hati kwa mdhamini Mkuu
Hati kwa mdhamini mkuu
Hati na pongezi kwa mdhamini mkuu
Salamu toka kwa mdau kijana toka China
Peter Msechu na bendi yake jukwaani
Hafla ilinogeshwa na onesho la mavazi la Kiafrika toka kwa Fabak Fashions
Wanamitindo wa Fabak Fashions
Picha ya pamoja na Asia Idarous-Khamsin na wanamitindo
Picha ya pamoja na Asia Idarous-Khamsin na wanamitindo wake
Rais Kikwete akapata picha za pamoja na wadau









Rais Kikwete alipita meza moja moja kusalimia wadau wa Diaspora
Rais Kikwete alipita meza moja moja kusalimia wadau wa Diaspora

JAJI MALLABA AKABIDHI OFISI ZA NEC KWA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI

$
0
0
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akikabidhi nyaraka za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya NEC jijini Dar es Salaam.

AMASHA LA 'DEMOCRACY IN DAR' LAFUNIKA JIJI

$
0
0
Wananchi waliojitokeza katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015. 

Msanii Msagasumu akimwaga sumu kwa wakazi wa Mbagala na Vitongoji vyake waliojitokeza katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Shangwe kila kona....
Wasanii wa Bongo Movie nao waliunga mkono harakati za Mabadiliko...
Mhe. Joseph Mbilinyi akiwa na Msanii wa Bongo Moive, Anti Ezekiel.
Wazee wa Isanga Family kutoka Mbeya nao hawakuwa nyuma kutoa ujumbe wao katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii AT kutokea Zanzibar akimwaga burudani katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule “Professa J” (kulia) akiteta jambo na wasanii wenzake Kala Jeremiah (kushoto) na Ney wa Mitego (Kati) katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Show love ya wasanii...
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiwapa wananchi ujumbe katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii Ney wa Mitego akitoa burudani katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii Roma Mkatoriki akitoa burudani...
Msanii wa Bongo Movie Shamsa Ford nae alikuwepo kusapoti mabadiliko na kuwasisitiza wananchi wajitokeze kupiga kura.
Msanii wa Kizazi kipya, ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu  akitoa burudani tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii Profesa Jay, ambaye ni mtia nia wa Ubunge kwa jimbo la Mikumi akiburudisha katika tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Msanii wa Kizazi kipya,  Juma Nature mtoto wa Mbagala akitoa burudani tamasha la 'Democracy in Dar' lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015.
Wasanii Nguri wa Muziki wa Kizazi Kipya, Joseph Haule a.k.a Profesa Jay na Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu wakishow love mara baada ya kumaliza kuwapa elimu na burudani wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake.
Marafiki wakifurahi mara baada ya kumalizika kwa tamasha hilo.

DJ WA KINAIJERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWA JAMII JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0

 Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Naijeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence Ifeoluwa maarufu kama DJ Cuppy akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Slipway jijini Dar
Waandishi wa habari wakiwa kazini

' Nyumbani Na Diaspora'- Episode Seven; Wazazi, Watoto Na Matumizi Ya Mitandao Inbox x

WAZAZI MATINEJA WAHITIMU ELIMU MBADALA

$
0
0
IMG_1858
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAZAZI wenye umri mdogo 149 mkoani Shinyanga ambao walipata mimba wakiwa shuleni wamekamilisha mafunzo ya miaka miwili ya stadi mbalimbali za maisha mkoani hapa.
Wazazi hao wenye umri mdogo ni miongoni mwa wazazi 220 walioanza mafunzo hayo miaka miwili iliyopita chini ya mradi wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhiliwa na Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Wazazi hao vijana kutoka wilaya tatu za mkoa wa Shinyanga za halmashauri ya Shinyanga, Msalala na Kahama walikuwa wanajifunza katika vituo 10.
Wengine walishindwa kuhitimisha mafunzo yao kwa sababu tofauti.
Pamoja na kumaliza mafunzo hayo na wengine kujiandaa kwa masomo ya sekondari, wanafunzi hao walijifunza shughuli mbalimbali ambazo zinawawezesha kujiajiri na kuongeza kipato kwa familia zao.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Msalala, Vivian Masangya alisema pamoja na akimama wadogo hao wengine walishindwa kukamilisha masomo yao kutokana na utoro uliosababishwa na familia, umbali wa vituo husika na wawezeshaji kuwa na posho ndogo ya kuwezesha mafunzo kumekuwepo na mafanikio makubwa.

IMG_1872
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila (kulia) akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama mara baada ya kuwasili katika ofisi hizo. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima nchini, Dk. Fidelis Mafuniko na kushoto ni Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige.
Alisema pamoja na changamoto hizo mradi huo umesaidia kurejesha heshima na uwezo wa akina mama hao wadogo na kuonesha njia kwa wengine ambao wamejikuta katika mazingira kama ya hao waliohitimu.
Alisema mila potofu za kuozesha mabinti wadogo na kuwabebea majukumu ya uzazi wakiwa wadogo na kisha wengine kukimbiwa na wale waliowapa ujauzito amefurahishwa sana kuona kwamba waliobaki wamehitimu kwa kishindo.
Naye Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta , akimwakilisha Mkuu wa Ofisi ya UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues alisema amefurahishwa na kukamilika kwa mradi huo ambao ulipokea dola 400,000 kutoka kwa serikali ya Japan.
Alisema mradi huo umetokana na mahitaji ya Tanzania katika kukabiliana na tatizo la elimu kwa wasichana wanaokatishwa ndoto zao kwa kupata ujauzito au kuolewa wakiwa wadogo.
“kama Unesco hatuna mradi. Mradi unakuwa wa serikali wanaeleza tatizo tunakaa pamoja tunaliangalia na kuona namna ya kulitatua” alisema Kotta wakati akisema ubunifu wa mradi huo ambao ulikuwa na lengo la kusaidia wasichana kufikia usawa wa jinsia kwa kuwa ukimwezesha kielimu mtoto wa kike utakuwa umeelimisha familia na mwisho taifa.
IMG_1895
Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta (kulia) akimkaribisha Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila alipowasili kwenye ukumbi yalipofanyika mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Aliwataka wahitimu kutoacha kuyatumia mafunzo yao kwa kuwa tayari wamekuwa na msingi sasa wanaweza kusonga mbele katika kusaka elimu.
Alisema wameshapata elimu ya kujitambua na wanachotakiwa kwa sasa ni kuhakikisha kwamba hawabaki nyuma katika jamii yao.
“..Tumefunguliwa njia na sasa ni lazima hatua nyingine kufikia ustawi… tukaze mwendo kwa kutumia taasisi za elimu ili kufikia ndoto zetu za kielimu” alisema Kotta.
Naye Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Dk. Noriko Tanaka akizungumza kwa niaba ya balozi wake alisema kwamba serikali ya Japan imefurahishwa na jinsi msaada wake ulivyotumika kuwawezesha akina wadogo kujitambua na kutengeneza mustakabali wa maisha yao.
Alisema katika hotuba yake kwamba anaamini wanawake hao wataanza maisha mapya baada ya kuhitimu na kuonesha tofauti ambayo itasaidia kuwajenga wao kifamilia na kiuchumi.
IMG_1914
Meza kuu katika mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Alisema dola 400,000 zilizotolewa kupitia Mfuko wa Pamoja wa Japan na Unesco ni sehemu tu ya juhudi za Japan kusaidia wale waliokwamishwa katika maendeleo yao kwa sababu mbalimbali waweze kujitambua na kushiriki katika kujiendeleza na kuendeleza taifa.
Aidha alisema katika juhudi hizo hizo hivi karibuni walifungua hosteli ya wasichana ambayo wanaamini itasaidia kuondoa tatizo la wasichana wa shule kukaa na kuwakwepesha na mimba zisizoza lazima.
Alisema ni lengo la ubalozi wake kuhakikisha wanawawezesha wasichana kuwa na nafasi sawa kielimu katika kuambatana na malengo ya millennia.
Mkurugenzi wa halmashauri ya Shinyanga Vijijini Julius Mlongo, Juni mwaka huu alisema kwamba takwimu zinaonesha kwamba Shinyanga inaoongoza kwa mimba za utotoni nchini.
Alisema hali hiyo inatokana na wazazi wengi kushindwa kuwahimiza mabinti zao kwenda shule.
Takwimu duniani zinaonesha kwamba wanawake milioni 400 wenye umri wa miaka 20-49 au zaidi ya asilimia 40 waliolewa wakati wakiwa wadogo.
IMG_2233
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA akizungumzia ufadhili wao wa dola 400,000 kwa ajili ya mradi wa elimu mbadala kwa wasichana walioacha shule kwa sababu za ujauzito wakati wa Mahafali ya Mradi huo mwishoni mwa wiki. Akina mama wadogo 149 walihitimu elimu hiyo kati ya 220 walioanza.Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito umefadhiliwai Ubalozi huo na kuratibiwa na UNESCO.
Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye kiwango cha juu cha ndoa a utotoni. Kwa wastani, mabinti wawili kati ya watano huolewa kabla hawajafikisha miaka 18.
Kwa hesabu za mwaka 2010 asilimia 37 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 20-24 walikuwa wameolewa au kuwa na patna anayeishi naye kabla hawajatimiza miaka 18.
Hata hivyo takwimu zinaonesha kupungua kwa asilimia 10 tangu mwaka 2004 ikiwa ni sawa na asilimia 41.
Ingawa ndoa za utotoni ni kawaida nchini Tanzania mikoa yenye kasi kubwa ni Shinyanga (59%), ikifuatiwa na Tabora (58%), Mara (55%), Dodoma (51%), Lindi (48%), Mbeya (45%), Morogoro (42%), Singida (42%), Rukwa (40%), Ruvuma (39%), Mwanza (37%), Kagera (36%), Mtwara (35%), Manyara (34%), Pwani (33%), Tanga (29%), Arusha (27%), Kilimanjaro (27%), Kigoma (26%), Dar es Salaam (19%) na Iringa (8%).
Kama hatua hazitachukuliwa mabinti 1,382,000 ambaow atakuwa wamezaliwa kati ya mwaka 2005 hadi 2010 watakuwa wameshajiingiza katika mahusiano ya kuishi pamoja pamoja na kuelewa ifikapo mwaka 2030, hasa ikizingatiwa kuwa mwaka 2010 wanawake 764,000 wenye umri kati ya 20 hadi 24 walikuwa wameolewa au kuishi kinyumba kabla ya kutimiza miaka 18.
IMG_2201
Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta akitoa salamu za UNESCO kwa niaba ya Mkuu wa ofisi ya UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues (hayupo pichani) wakati wa mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_2117
Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima nchini, Dk. Fidelis Mafuniko (kulia) akiteta jambo na Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA wakati wa mahafali hayo.
IMG_2285
Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima nchini, Dk. Fidelis Mafuniko akitoa nasaha zake wakati wa mahafali hayo.
IMG_2130
Baadhi ya wahitimu wa kikundi cha Ujasiriamali cha Upendo Malunga wakitoa burudani ya shairi kwa mgeni rasmi na meza kuu.
IMG_1918
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila (wa tatu kulia) na meza kuu wakikagua kazi mbalimbali za mikono zinazofanywa na wahitimu wa vituo mbalimbali ndani ya halmashauri ya Msalala wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1922
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa halmshauri ya Msalala,Vivian Masangya wakitazama ubora wa vitambaa vya meza vilivyotengenezwa na wahitimu hao.
IMG_1936
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima nchini, Dk. Fidelis Mafuniko, Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila, Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA pamoja na Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta wakikagua kazi mbalimbali zilizofanywa na wahitimu hao kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1977
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila (kulia), akiwaunga mkono wakina mama hao kwa kununua shuka na foronya zilizotengenezwa na mmoja wa wahitimu hao (aliyebeba mtoto mchanga) wakati wa mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1971
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kushoto) akiwaunga mkono wahitimu hao kwa kununua Batiki wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1975
Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta akinunua batiki kutoka kwa mmoja wa wahitimu Hellena Masalu wa Kikundi cha Safina Kata ya Segese, mkoani Shinyanga wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1964
Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima nchini, Dk. Fidelis Mafuniko akiwaunga mkono wahitimu hao wakati wa sherehe fupi ya Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_1984
Mmoja wa wakufunzi wa ujasiriamali halmashauri ya Msalala, Bi. Clemencia Mpuga Ngongo akitoa maelezo kwa Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila, jinsi kifaa cha "Hydrometer" kinachotumika kupima wingi wa "Caustic" katika hatua za utengenezaji wa sabuni za kufulia za miche wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_2008
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila akikata miche ya vipande vya sabuni ta kufulia iliyotengenezwa na wahitimu hao.
IMG_2062
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila akishuhudia kwa vitendo utengenezaji wa sabuni za miche uliofanywa mbele yake kudhihirisha wahitimu wameiva kimafunzo.
IMG_2357
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila (wa pili kulia) akimkabidhi cheti Mhitimu wa Lunguya, Shija Vicent wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_2350
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila akimpongeza Mhitimu wa kituo cha Lunguya, Fatuma Masaja mara baada ya kumtunuku cheti wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
IMG_2352
Mhitimu wa kituo cha Lunguya, Fatuma Masaja ambaye aliyepata ujauzito akiwa shuleni na uliompelekea kukatisha masomo yake na hatimaye mradi wa elimu mbadala kwa wasichana walioacha shule kwa sababu za ujauzito kumkomboa kwa kumpa mafunzo mbalimbali ikiwemo ujasiriamali wa kutengeneza batiki, sabuni, ushonaji n.k. akifurahia baada ya kutunukiwa cheti chake.
IMG_2139
Sehemu ya wakufunzi na wazazi waliohudhuria tukio hilo adhimu.
IMG_2393
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Elimu ya Watu Wazima MOEVT, Salum Mjagila na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa vituo mbalimbali vya halmashauri ya Msalala vilivyohitimu mafunzo hayo.
IMG_2398
IMG_2405
IMG_2416
IMG_2388
Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta akimpongeza kwa furaha mmoja wa wakufunzi walioshiriki kufanikisha mafunzo hayo Bi. Clemencia Mpuga Ngongo wakati wa Mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Viewing all 4405 articles
Browse latest View live