Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
↧
MATOKEO KURA ZA MAONI JIMBO LA MOSHI MJINI YAMPA USHINDI DAVIS MOSHA.
↧
DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KWA KISHINDO, AIWAKILISHA KWA RAIS KIKWETE KUTHIBITISHA
Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wakiondoka kwa gari la wazi kutoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua fomu ya kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akipita kwenye makutano ya baabara ya Morogoro na Bibi Titi Mohammed, wakati mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mwananchi akipunga mkono kufuarhia msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akati ukipita kwenye makutano ya baabara ya Morogoro na Bibi Titi Mohammed, wakati mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Wananchi akipunga mkono kufuarhia msafara wa Mgombea Mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli wakati ukipita kwenye baabara ya Bibi Titi Mohammed, mgombea huyo akienda kuchuua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mgombea mteue wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akiigia Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi huku akisindikizwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli akisaini fomu maalum, baada ya kuingia Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Kulia ni Mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan
Dk. Magufuli akisaini fomu maalum
Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan akitia saini fomu hizo maalum
Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan akitia saini fomu hizo maalum
Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi
Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi
Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimpatia maelezo muhimu, Dk. Magufuli kabla ya kumkabidhi

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Adam Nyando akimkabidhi Dk. Magufuli mkoba wenye fomu zote za kuomba urais. Huku Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassani akishuhudia kwa makini

Maelfu ya wananchi wakimsindikiza Dk. Magufuli kurejea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, baada ya kuchukua fomu
Maelfu ya wananchi wakimsindikiza Dk. Magufuli kurejea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, baada ya kuchukua fomu
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihamasisha umati wa wananchi waliokuwa wamefurika kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, wakimsubiri kumpokea Dk. Magufuli akirejea kwenye Ofisi hiyo baada ya kuchukua fomu NEC.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, ili amkaribishe jukwaani, kuonyesha fomu zake, mgobea Mteule wa Urais wa tiketi ya CCM, Dk. John Maguli, kwenye Ofisi ya CCM Lumumba
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na umati wa wananchi kabla ya kumkaribisha Dk. Magufuli kuzungumza na wananchi baada ya kurejea na fomu zake, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba

Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais
Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais
Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akiserebuka kidogo muziki wa TOT baada ya kuzungumza na umati wa wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea na fomu yake ya kuwania Urais
Dk. Magufuli akiwashukuru wananchi kwa mapokezi waliyopmpa
Kisha akawaanga kabla ya Rais Kikwete kuja kumchukua jukwaani
Rais Kikwete, Naye akajiunga kucheza muziki kidoogo wa TOT kabla ya kuwashusha jukwaani Dk. Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassani
Dk. Magufuli akiwaaga wananchi baada ya kumalizika mkutano huo wa mapokezi yake
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwaanga wananchi baada ya mapokezi hayo ya Dk. Magufuli, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba.
>HALI ILIVYOKUWA KWENYE OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU YA CCM LUMUMBA KABLA YA DK. MAGUFULI KWENDA KUCHUKUA FOMU
Kikundi cha Tanzania One Theatre, kikitumbuiza, mbele ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, wakati akisubiriwa Dk. Magufuli na mgombea mweza wake kuwasili kwenye Ofisi hiyo kabla ya kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ambaye pia ni Mkumbe wa NEC, Uchumi na Fedha Mama Zakia Meghji akiongoza baadhi ya wana CCM kuserebuka wimbo wa TOT
"Hapa tumejipanga hadi wapinzani waisome namba" Kinana akimwambia Naibu Katibu Mkuu wake, Rajabu Luhavi wakati akisubiwa Dk. Magufuli kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha mgombea mwenza Samia Suhulu Hassan, baada ya kuwasili
Katibu wa NEC, Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akisalimiana na mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassa baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM. Dk. Asha-Rose ni miongoni mwa waomba kuwania Urais kwa tiketi ya CCM ambaye alifanikiwa kuingia tatu bora katika mchakato wa kumpata mgombea wa CCM uliomuibua Dk. Magufuli
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akifurahia jambo na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, wakati akisubiwa Dk. Magufuli kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Baadhi ya viongozi na wana CCM na Makada wa CCM wakimsubiri Dk. Magufuli
Msafara wa mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli ukiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Dk. Magufuli akisalimia umati wa wananchi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM, Lumumba
Wananchi wakimpungia mikono Dk. Magufuli baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Muhammed Seif Khatib akimlaki Mgombea Mteule wa Urais wa CCM, Dk. Magufuli baada ya kuingia chumba cha mapumziko kwa muda, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Dk. Magufuli akimsalimia Dk. Fenela Mkangara baada ya kuwasili chumba cha mapumziko kwa muda katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
Dk. Magufuli akimsalimia Dk. Didas Masaburi
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na Dk. Magufuli katika chumba cha mapumziko kwa muda
Dk. Magufuli akiwa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM
Dk. Magufuli akiteta jambo na Dk. Asha-Rose Migiro
Baadhi ya viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwa katika chumba cha mapumziko ya muda baada ya kuwasili Dk. Magufuli
Mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na Dk. Asha-Rose Migiro na Muhammed Seif Khatib
Dk. Magufuli akifurahia jambo na Mwenyekiti wa UWT, Sohia Simba. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiteta jambo na Dk. Magufuli
Nape akipata ushauri kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akisalimia na Silaa. Kulia ni Dk Hussein Mwinyi
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimsalimia mgombea mwenza
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimsalimia Dk. Magufuli
Dk. Magufui akimsikiliza kwa makini wakati Madabida akimweleza jambo
Dk. Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Ilala Mussa Zungu
Dk Asha Rose Migiro akiteta jambo na Sophia Simba na Amina Makilagi
Dk Magufuli akisalimiana na Abbas Mtemvu
Dk. Magufuli akitoka chumba cha mapumziko ya muda tayari kwa safari ya kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Dk. Magufuli akiwasalimia wananchi kabla ya kuanza safari
Dk. Magufuli akiwasalimia wananchi kabla ya kuanza safari
Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli na mgombea mwenza wake wakiwa katika gari la wazi kutoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Picha zote na Bashir Nkoromo
↧
↧
DK CYRIL CHAMI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM JIMBO LA MOSHI VIJIJINI.
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
↧
NCHI WAHISANI WATOA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 802.15 KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Mkurugenzi wa Kituo cha Mabadiliko ya tabia nchi Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Profesa Pius Yanda (kushoto) akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida (wa pili kushoto) huku wengine wakishuhudia zoezi hilo, Kulia ni Mwakilishi wa FANPRAN, Sithembile Ndema na wa pili kulia Mtafiti msaidizi kutoka ESRF, Ian Shanghvi.
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Mabadiliko ya tabia nchi Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Profesa Pius Yanda wakati alipokuwa akitoa mada kuhusu utafiti alioufanya yeye na wenzake kuhusu mchango wa uwezeshaji mapambano hayo kutoka nchi marafiki.
Alisema kiasi hicho cha fedha ni sawa na wastani wa dola milioni 200 kila mwaka zilizokuwa zikipelekwa katika sekta mbalimbali nchini.
Alisema utafiti walioufanya ambao ulilenga kuona kiasi cha fedha zilizotoka kwa wafadhili kwa ajili ya miradi mbalimbali ni awamu ya pili ya utafiti ambao awali ulijikita kuona bajeti ya taifa inavyotumika kukabili mabadiliko ya tabia nchi.
Profesa Yanda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha Mazingira amesema kwamba sehemu kubwa ya fedha ipo katika miradi ya maendeleo ambayo utekelezaji wake pamoja na kutosema kwamba unakabili mabadiliko ya tabia nchi, matokeo yake ndiyo yanayobainisha.
Alitolea mfano kuwa miradi ya kusambaza umeme vijijini ( REA) nchini ambayo ilipata fedha nyingi katika miaka ya 2011 na 2012 ni miradi ya maendeleo lakini hatima yake ni kuzuia ukataji hovyo wa miti kwa ajili ya nishati.
Akifafanua fedha hizo zaidi alisema kwamba Tanzania mwaka 2010 jumuiya ya kimataifa zilitoa dola za Marekani milioni 171.93, mwaka 2011 dola za Marekani milioni 225.35, mwaka 2012 dola za Marekani milioni 229.74 na mwaka 2013 Tanzania ilipata dola za Marekani milioni 175.14.
Utafiti huo ambao uligharamiwa na COMESA, EAC na SADC umewasilishwa katika mkutano wa kitaifa wa uwezeshaji wa miradi ya kukabili tabia nchi kwa mfumo wa ndani ambapo pia Mwakilishi wa mtandao wa FANRPAN, Sithembile Ndema alikuwepo kuelezea maana ya mikutano ya kisera katika nchi zinazounda mtandao huo.
Mtandao huo ambao ulianzishwa mwaka 1994 baada ya mkutano wa mawaziri wa kilimo wa nchi za SADC, EAC na COMESSA na makao makuu yake kuwa nchini Zimbabwe ulianza kazi mwaka 1997 na sasa makao makuu yapo nchini Afrika Kusini.
Mtandao huo umelenga kuwezesha mataifa ya Afrika kuendesha kilimo na ufugaji unaozingatia mabadiliko ya tabia nchi na hivyo kutunza mazingira na kuongeza tija.
Mikutano ya aina hiyo pia inafanyika Uganda, Ethiopia, Kenya na Zambia.
Profesa Yanda alisema kwamba pamoja na fedha hizo kuonekana nyingi kiukweli ni haba kutokana na hali halisi ilivyo sasa na hasa ikizingatiwa kwamba kunatakiwa pia fedha za mabadiliko tabia nchi yenyewe badala ya kutumia miradi ya maendeleo ambao matokeo ni kukabili mabadiliko ya tabia nchi.
Mshehereshaji Hanif Tuwa kutoka ESRF, akitoa mwongozo wa yatakayojiri kwenye mkutano wa kitaifa wa kujadili sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika jana jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za ESRF.
Alisema takwimu walizopata kuhusu fedha zilizofika nchini kutoka katika jumuiya ya kimataifa zililingana na taarifa zilizopo Hazina na kuonesha kwamba fedha hizo zilienda kutumika katika makadirio yaliyokusudiwa.
“tofauti iliyopo ni tafsiri ya miradi ya mabadiliko ya tabianchi. Miradi ya maendeleo, inatamkwa kama miradi ya maendeleo lakini ukiangalia mwishoni ni miradi hiyo kusaidia katika kukabili mabadiliko ya tabia nchi” alisema katika mahojiano baadae na na waandishi wa habari.
Alisema kama Mkurugenzi wa Kituo cha mabadiliko ya tabia nchi anashauri serikali kuhimiza wananchi wake kuendelea kusimamia mazingira vyema huku wakulima na wafugaji wakisikiliza maofisa ugani kwa ajili ya kuwa na kilimo na ufugaji bora usioharibu mazingira..
Alisema tafiti mbalimbali zinaonesha kuwepo kwa athari kubwa ya mabadiliko ya tabia nchi ambapo sasa hata sehemu za baridi za nyanda za juu zimeanza kuwa na magonjwa ya Malaria huku wakulima wakiwa hawajui muda wa kupanda kutokana na mabadiliko ya joto na pia unyeshaji wa mvua.
Alisema pia nyanda za juu sasa zinakabiliwa na wadudu waharibifu wa mazao vitu ambavyo awali havikuwepo.
Alisema kwamba bado taifa linahitaji kufanya tafiti nyingi zaidi na kuzitumia kuelimisha umma kuhusu nini kinatokea na nini kinastahili kufanywa kukabili mabadiliko hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akihutubia mkutano wa kitaifa wa kujadili sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabia nchi. Mkutano huo umefanyika jana jijini Dar es salaam katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za ESRF na kujadili taarifa ya utafiti uliofanywa kwa miaka minne kuhusiana na uwezeshaji.
Mkutano huo wa kitaifa ulifunguliwa na Mkurugenzi wa Taasisi huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) Dk. Tausi Kida ambaye alisema lengo la mkutano huo ni kuchambua utafiti uliofanywa na kuja na maazimio yatakayosaidia kuboresha kilimo na kuhifadhi mazingira katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi.
Aliwaambia washiriki kuiangalia kwa makini tafiti ya Profesa Pius Yanda na kuhakikisha kwamba wanakuwa na uelewa wa maudhui na kuwezesha kutoa dira ya utekelezaji katika siku za usoni.
Alisema wakati taifa linajipanga kutekeleza mpango wake wa maendeleo wa kuelekea katika uchumi wa viwanda suala la mabadiliko tabia nchi haliwezi kuachwa na hivyo wajumbe wa mkutano walitakiwa kuangalia na kuja na mapendekezo yao.
Mapendekezo hayo ni pamoja na kuwa na kilimo na ufugaji wenye tija unazoingatia ufanisi katika hifadhi ya mazingira na namna uwezeshaji wa ndani unavyoweza kuendeleza mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi.
Alisema ni muhimu kilimo kuwa ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
ESRF ni taasisi yinayojishughulisha na tafiti mbalimbali za jiuchumi na kijamii zinazotoa mwelekeo wa utekelezaji wa sera na kanuni mbalimbali za maendeleo na ustawi wa jamii.
Pmaoja na kuratibu mkutano huo pia ilitoa nafasi ya ukumbi wake kutumika na kutoa mwelekeo wa mkutano na umuhimu wake katika mpango wa pili wa maendeleo wa taifa ambao unatakiwa uzingatie mabadiliko ya tabia nchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akisoma hotuba na kuwakaribisha washiriki wa mkutano wa kitaifa wa kujadili sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabia nchi. Kulia ni Mwakilishi wa FANPRAN, Sithembile Ndema na kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Mabadiliko ya tabia nchi Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Profesa Pius Yanda.
Mwakilishi wa FANPRAN, Sithembile Ndema akielezea mradi wa COMESA wa uwezashaji wa ndani wa fedha kwa ajili ya mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano huo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida (katikati) na Mkurugenzi wa Kituo cha Mabadiliko ya tabia nchi Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Profesa Pius Yanda (kulia) wakifuatilia ka umakini 'presentation' ya Mwakilishi wa FANPRAN, Sithembile Ndema (hayupo pichani).
Mkurugenzi wa Kituo cha Mabadiliko ya tabia nchi Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Prof. Pius Yanda, akitoa mada ya ufadhili wa kimataifa wa uwezeshaji wa kifedha wa mabadiliko ya tabianchi Tanzania katika mkutano huo.
Pichani juu na chini washiriki wakichangia mawazo yao kuhusu namna sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabia nchi inavyopaswa kuwa katika mkutano huo.
Pichani juu na chini ni washiriki kutoka taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali, watafiti, na wadau wa maendeleo waliohudhuria mkutano wa kitaifa wa kujadili sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabia nchi.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano wa kitaifa wa kujadili sera ya uwezeshaji kifedha mabadiliko ya tabianchi.

Picha ya pamoja ya washiriki.
↧
ZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO LEO
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa.
Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo
Mwenyeti Kata ya Kiloleni Tarafa ya Usoke, Wilaya ya Urambo Kati, Juma Kamagi akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo hayo.
↧
↧
BALOZI LIBERATA MULAMULA AONDOKA RASMI MAREKANI KURUDI TANZANIA.
Balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC walipokwenda kumuaga nyumbani kwake Bethesda Maryland.
Safari ya kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dulles ikianza.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Agnes Mutta Mke wa Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC.
Mhe Balozi Liberata Mulamula pamoja na Mkuu wa Utawala Lily Munanka wakibadilishana mawazo pamoja na familia ya Mwambata wa Jeshi.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa pamoja na Mwambata wa Jeshi Col. Adolph Mutta pamoja na Mkewe Agnes Mutta.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akitoa pasi yake ya kusafiria kwaajili ya kujisajili tayari kwa kuondoka.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa katika hatua za mwisho za usajili.
Mhe Balozi Liberata Mulamula tayari usajili ulipokamilika
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Ubalozi pamoja na familia zao.
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula akiwa tayari anajiandaa kwa ukaguzi wa mwisho na kuelekea kwenye ndege.
Kwa pamoja tunasema Safari Njema na Ubarikiwe Sana Balozi Mulamula daima tutakukumbuka.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Agnes Mutta Mke wa Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC.
Mhe Balozi Liberata Mulamula pamoja na Mkuu wa Utawala Lily Munanka wakibadilishana mawazo pamoja na familia ya Mwambata wa Jeshi.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa pamoja na Mwambata wa Jeshi Col. Adolph Mutta pamoja na Mkewe Agnes Mutta.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akitoa pasi yake ya kusafiria kwaajili ya kujisajili tayari kwa kuondoka.
Mhe Balozi Liberata Mulamula akiwa katika hatua za mwisho za usajili.
Mhe Balozi Liberata Mulamula tayari usajili ulipokamilika
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Ubalozi pamoja na familia zao.
Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula akiwa tayari anajiandaa kwa ukaguzi wa mwisho na kuelekea kwenye ndege.
Kwa pamoja tunasema Safari Njema na Ubarikiwe Sana Balozi Mulamula daima tutakukumbuka.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI.
↧
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu kutokana na mambo makubwa liyoifanyia idara hiyo kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akionesha tuzo maalumu aliyoipokea kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Sehemu ya Majaji wa Mahakama Kuu wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Sehemu ya wastaafu na viongozi wa taasisi wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
MC wa shughuli katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Meza Kuu katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na watumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na watumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na watumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na watumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na watumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete akisalimiana na Majaji wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja Majaji wa Mahakama Kuu ya Rufani jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
Rais Kikwete katika picha ya Mwanasheria Mkuu, Mtendaji Mkuu wa Mahahama, Rais wa Tanganyika Law Society jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015 katika sherehe fupi iliyoandaliwa na Mahakama na wadau wa Sheria kumuaga rasmi Mhe Kikwete kama Rais wa nchi.
PICHA ZOTE NA IKULU
↧
DINNER YA WASANII KUMUAGA JK YANOGA MLIMANI CITY, DAR
Na Bashir Nkoromo, theNkoromo Blog
Wasanii wa fani mbalimbali jana kuanzia jioni walijumuika na Rais Jakaya Kikwete katika chakula cha jioni, kwa ajili ya kuagana naye, kufuatia kukaribia kumaliza mda wake wa urais.
Katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, pamoja na Rais Kikwete, ilihudhuriwa pia na Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Rais Jakaya Kikwete alisisitiza kuwa wasanii ni watu muhimu ambao kazi zao zinapaswa kulindwa ili ziwanufaishe kama ilivyo kwa wasanii wengine duniani kama walioko nchi kama za Marekani.
Rais Kikwete aliahidi kuendelea kusaidia juhudi za kuwafanya wasanii waishi maisha yaliyo bora kwa kupata kipato kinacholingana na kazi zao hata akishastaafu nafasi yake ya urais.
Ili kutekeleza azma yake hiyo, Rais Kikwete aliahidi kuwa mlezi wa wasanii ili kuwewezesha masuala yao mengi yapige hatua zaidi.
Mapema wasanii walimtawaza Rais Kikwete kuwa Shujaa wao, na kumtunuku picha maalum iliyonakshiwa karibu majina ya wasanii wote nchini, Picha hiyo alikabidhiwa na Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Nikki wa Pili ambaye kabla ya tukio hilo, alieleza jinsi tasnia ya sanaa, inavyochangia pato la taifa na changamoto zinazowakabili wasanii.
Katika hafla hiyo, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye walichangamsha ukumbi, baada ya kupanda jukwaani na kuzicharaza ala za muziki kwa umahiri mkubwa.
Dk. Magufuli aliamsha hoihoi ukumbini kwa kuzicharaza tumba, huku Napa akicharaza gita zito la Bess, na wote kuunogesha moja ya nyimbo za zamani, wa DDC Mlimani Park ulioimbwa na msanii, Recho.
Baadhi ya wasanii wengine waliotumbuiza ni Farid Kubanda (Fid Q), Shakila, Rud, Jose Mara.
Rais Jakaya Kikwete akiingia katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, kuhudhuria chakula cha jioni, kilichoadaliwa kwa ajili ya Rais Kuagana na wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini, jana usiku. Pamoja naye ni Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba.
---------------------------------
HABARI KATIKA PICHA
Rais Jakaya Kikwete na viongozi aliofuatana nao wakiwa wamewasili ukumbini na zifuatazo ni picha mbalimbali za wasanii waliohudhuria ukumbini
Kassim Mponda akiwa na wenzake maarufu
Mzee Kingi Kikii akiwa na wenzake maarufu
Rais Kikwete akimsalimia Mzee Yusuf kwa furaha
Akimsalimia pia mke wa Mzee Yussuf
Mzee Yussuf akapata fursa ya kuteta jambo Rais Kikwete
Wasanii wakijipiga picha kwa simu na Rais Kikwete wakati akiwasalimia
Rais Kikwete akiwasalimia kwenye meza ya Kina Baba Zoro
Rais Kikwete alifurahi kiasi cha kukumbatiana na baadhi ya wasanii, kama alivyofanya hapa
Rais Kikwete akiendelea kusalimia wasanii meza moja baada ya nyingine![]()
Akafika hadi meza aliykuwepo Madam Rita wa Bongo Star Search
Nao wakapata fursa ya kujipiga picha na Rais kwa kutumia simu yao
Rais akafika hadi kwa Juma Kaseja
Salam zikaendelea
Rais Kikwete akajitahidi kusalimia kila mmoja na zifuatazo ni picha mbalimbali za wasanii wakiwa kwenye meza zao
Wasanii wakiwa wameketi kwa utulivu mezani
Bi Shakila akiwa na mwenzake
Fid Q akiwa ndani ya nyumba
Wengine wakiwa katika nyuso za kutafakari hali ya mambo
Wengine wakiendelea na vinywaji
Wasanii wakijichanganya bila kujali fani zao
Ally Chocky (kushoto) ndani ya nyumba
Diamond Platinum akisalimia wenzake baada ya kuingia ukumbini
Jay B (kushoto) pia ndani ya nyumba
Baadhi ya wakurugenzi wa vyombo vya habari wakiwa ndani ya nyumba. hapo kuna Benny Kissaka (kushoto) na kulia ni Danny Chongolo
Rey naye ukumbini
Mzee Yussuf na mkewe wakiwa ndani ya nyumba
Kina Juma Kaseja ndani ya nyumba
Msanii Rubby akiimba wimbo maalum wa kuisifu Tanzanaia
Fid Q akiimba kutumbuiza ukumbini
Jose Mara akiimba wimbo wa Mbaraka Mwishehe wa kuisifia Morogoro
Diamond akitoa tamko kuhusu tasnia ya Sanaa, alisema, kabla ya umaarufu aliwahi kudandia kampeni za CCM kutoka Mwanza hadi Dar, hadi akatambuliwa
Rais Kikwete uso kwa uso na Msanii na Msanii King Majuto
Bi Shakira akiimba wimbo Macho yanacheka Moyo unalia
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akizicharaza tumba, huku Nape akicharaza Bess
Recho akiimba wimbo wa Sikinde
Msanii akimtunza Dk. Magufuli Dola za marekani baada ya kuvutiwa anavyocharaza tumba
Jay B na Mwana FA wakiwa wamekaribishwa kuketi meza kuu
Bushoke akiimba wimbo wake wa maarufu wa kunyanywaswa na mke
Shughuli hiyo ikamfikisha Hussein Bashe katikati ya Nape na Kinana
Kinana akimshauri jambo Bashe
Rais Kikwete akipata picha na Fid Q
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni akisakata mzuziki na Madam Rita
Rais Kikwete akisakata muziki katikati ya wasanii
Nikki wa pili akitoa maelezo kabla ya kumkabidhi Rais Kikwete picha maalum
Rais Jakaya Kikwete akikabidhiwa picha maalum yenye majina ya wasanii karibu wote, kutoka kwa Nikki wa Pili. Kulia ni Fid Q. Picha zote na Bashir Nkoromo.
Wasanii wa fani mbalimbali jana kuanzia jioni walijumuika na Rais Jakaya Kikwete katika chakula cha jioni, kwa ajili ya kuagana naye, kufuatia kukaribia kumaliza mda wake wa urais.
Katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, pamoja na Rais Kikwete, ilihudhuriwa pia na Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Rais Jakaya Kikwete alisisitiza kuwa wasanii ni watu muhimu ambao kazi zao zinapaswa kulindwa ili ziwanufaishe kama ilivyo kwa wasanii wengine duniani kama walioko nchi kama za Marekani.
Rais Kikwete aliahidi kuendelea kusaidia juhudi za kuwafanya wasanii waishi maisha yaliyo bora kwa kupata kipato kinacholingana na kazi zao hata akishastaafu nafasi yake ya urais.
Ili kutekeleza azma yake hiyo, Rais Kikwete aliahidi kuwa mlezi wa wasanii ili kuwewezesha masuala yao mengi yapige hatua zaidi.
Mapema wasanii walimtawaza Rais Kikwete kuwa Shujaa wao, na kumtunuku picha maalum iliyonakshiwa karibu majina ya wasanii wote nchini, Picha hiyo alikabidhiwa na Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Nikki wa Pili ambaye kabla ya tukio hilo, alieleza jinsi tasnia ya sanaa, inavyochangia pato la taifa na changamoto zinazowakabili wasanii.
Katika hafla hiyo, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye walichangamsha ukumbi, baada ya kupanda jukwaani na kuzicharaza ala za muziki kwa umahiri mkubwa.
Dk. Magufuli aliamsha hoihoi ukumbini kwa kuzicharaza tumba, huku Napa akicharaza gita zito la Bess, na wote kuunogesha moja ya nyimbo za zamani, wa DDC Mlimani Park ulioimbwa na msanii, Recho.
Baadhi ya wasanii wengine waliotumbuiza ni Farid Kubanda (Fid Q), Shakila, Rud, Jose Mara.
Rais Jakaya Kikwete akiingia katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, kuhudhuria chakula cha jioni, kilichoadaliwa kwa ajili ya Rais Kuagana na wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini, jana usiku. Pamoja naye ni Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba.
---------------------------------
HABARI KATIKA PICHA
Rais Jakaya Kikwete na viongozi aliofuatana nao wakiwa wamewasili ukumbini na zifuatazo ni picha mbalimbali za wasanii waliohudhuria ukumbini
Kassim Mponda akiwa na wenzake maarufu
Mzee Kingi Kikii akiwa na wenzake maarufu
Rais Kikwete akimsalimia Mzee Yusuf kwa furaha
Akimsalimia pia mke wa Mzee Yussuf
Mzee Yussuf akapata fursa ya kuteta jambo Rais Kikwete
Wasanii wakijipiga picha kwa simu na Rais Kikwete wakati akiwasalimia
Rais Kikwete akiwasalimia kwenye meza ya Kina Baba Zoro
Rais Kikwete alifurahi kiasi cha kukumbatiana na baadhi ya wasanii, kama alivyofanya hapa
Rais Kikwete akiendelea kusalimia wasanii meza moja baada ya nyingine

Akafika hadi meza aliykuwepo Madam Rita wa Bongo Star Search
Nao wakapata fursa ya kujipiga picha na Rais kwa kutumia simu yao
Rais akafika hadi kwa Juma Kaseja
Salam zikaendelea
Rais Kikwete akajitahidi kusalimia kila mmoja na zifuatazo ni picha mbalimbali za wasanii wakiwa kwenye meza zao
Wasanii wakiwa wameketi kwa utulivu mezani
Bi Shakila akiwa na mwenzake
Fid Q akiwa ndani ya nyumba
Wengine wakiwa katika nyuso za kutafakari hali ya mambo
Wengine wakiendelea na vinywaji
Wasanii wakijichanganya bila kujali fani zao
Ally Chocky (kushoto) ndani ya nyumba
Diamond Platinum akisalimia wenzake baada ya kuingia ukumbini
Jay B (kushoto) pia ndani ya nyumba
Baadhi ya wakurugenzi wa vyombo vya habari wakiwa ndani ya nyumba. hapo kuna Benny Kissaka (kushoto) na kulia ni Danny Chongolo
Rey naye ukumbini
Mzee Yussuf na mkewe wakiwa ndani ya nyumba
Kina Juma Kaseja ndani ya nyumba
Msanii Rubby akiimba wimbo maalum wa kuisifu Tanzanaia
Fid Q akiimba kutumbuiza ukumbini
Jose Mara akiimba wimbo wa Mbaraka Mwishehe wa kuisifia Morogoro
Diamond akitoa tamko kuhusu tasnia ya Sanaa, alisema, kabla ya umaarufu aliwahi kudandia kampeni za CCM kutoka Mwanza hadi Dar, hadi akatambuliwa
Rais Kikwete uso kwa uso na Msanii na Msanii King Majuto
Bi Shakira akiimba wimbo Macho yanacheka Moyo unalia
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akizicharaza tumba, huku Nape akicharaza Bess
Recho akiimba wimbo wa Sikinde
Msanii akimtunza Dk. Magufuli Dola za marekani baada ya kuvutiwa anavyocharaza tumba
Jay B na Mwana FA wakiwa wamekaribishwa kuketi meza kuu
Bushoke akiimba wimbo wake wa maarufu wa kunyanywaswa na mke
Shughuli hiyo ikamfikisha Hussein Bashe katikati ya Nape na Kinana
Kinana akimshauri jambo Bashe
Rais Kikwete akipata picha na Fid Q
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni akisakata mzuziki na Madam Rita
Rais Kikwete akisakata muziki katikati ya wasanii
Nikki wa pili akitoa maelezo kabla ya kumkabidhi Rais Kikwete picha maalum
Rais Jakaya Kikwete akikabidhiwa picha maalum yenye majina ya wasanii karibu wote, kutoka kwa Nikki wa Pili. Kulia ni Fid Q. Picha zote na Bashir Nkoromo.
↧
UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMUGA JK,WAMTANGAZA KUWA SHUJA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa muziki pamoja na Bongomovie na pia alikubali kuwa mlezi wa tasnia hizo na kuhakikisha mambo yanakwenda sawa ndani ya tasnia hizo mbili adhimu kwa sasa hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete katikati pichani akiserebuka na wadau wa muziki na huku akipiga nao picha,ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli.
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akipiga ngoma huku akishirikiana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga gitaa ndani ya ukumbi wa mlimani City jijini Dar.
Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu wa NEC Itikadi na Uuenezi Nape Nnauye na pamoja na Januari Makamba wakifurahia jambo kwa pamoja na wageni waalikwa mbalimbali waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamojoa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (mwisho kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh.Paul Makonda wakiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli, Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pia akishiriki tukio hilo.Hafla hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali wakiwemo waigizaji wa filamu, wachezaji na wanamuziki wakishiriki kwa pamoja kumshukuru Dk.Jakaya Kikwete.
Baadhi ya Wadau wa muziki wakifurahia jambo wakati Rais Dkt Jakaya Kikwete alipokuwa akiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wadau wa muziki nchini ndani ya ukumbi wa mlimani City usiku huu.
Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom,Kelvin Twisa
Dkt Kikwte akisalimiana na baadhi ya Wasanii wa muziki wa bongofleva
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh Said Meck Sadick ndani ya ukumbi wa mlimani city usiku huu.
Wanauziki wakongwe pia walikuwepo kumshukuru Rais Kikwete kwa mambo mengi aliyoyafanya katika uongozi wake wa miaka kumi ndani ya tasnia ya muziki.
PICHA NA MICHUZI JR.
↧
↧
JK ALIPOAGWA RASMI NA WASANII WA FANI MBALIMBALI MLIMANI CITY JIJINI DAR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Mhe. John Pombe Magufuli alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe January Makamba alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Ruge Mutahaba, mratibu mkuu wa hafla alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wasanii alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na msanii na kiongozi wa bendi Mapacha watatu Jose Mara alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mona Lisa mmoja wa wasanii walioratibu hafla alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na msanii JB alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015. Kushoto kwa JB ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Mhe. John Pombe Magufuli
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa maelezo ya hafla itavyokuwa baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na rasmi na Wasanii wa fani mbalimbali katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
Wasanii wa fani mbalimbali wakimkaribisha JK katika hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
JK akipata picha na Mgombea Ubunge Moshi Mjini Davies Mosha na mwendesha talk show Mboni Mashimba kwenye hafla ya Wasanii wa fani mbalimbali ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
JK akisalimiana na msani Cassim Mganga
Ommy Dimples akipata selfie na JK
Wasanii wakipata selfie na JK
Kila msanii aliomba selfie na JK
selfie
JK akipata selfie toka kwa
Meza ya Mzee Yusuf na mkewe na wadau wakubwa wa muziki nchini
Meza ya Mzee Walter Bgoya ya familia yake
Meza ya Jose Mara na Kelvin Twissa
Selfie zikiendelea
JK na wakongwe Nyoshi el Sadat na Komando Hamza Kalala
Kila kona selfie
JK akiendelea kusalimiana na wadau wa sanaa
JK akipeana mikono na Joh Makini
Selfie zimenoga meza ya kina Adam Mchomvu na Joh Makini
Adam Mchomvu akitoa special thanks kwa Prezidaa
JK akimsalimia Nikki wa Pili
Meza ya Fina Mango
Jose Mara akinogesha shughuli. Huyu jamaa noma
Diamond akitoa shukrani kwa niaba ya wasanii wenzie
Jose Mara jukwaani katika Big Screen
JK na King Majuto
JK akiongea na King Majuto na Mzee Shilo
JK akiwa na Bi Shakila Saidi
Steve Nyerere akiwa kavamia meza kuu
Steve Nyerere akiosha nyota
Diamond akisalimia meza Kuu
Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mwimbaji nyota Patricia Hilary
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akisalimia meza kuu
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akisalimiana na Dkt Magufuli
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akificha uso
Mwanamuziki nyota Ali Kiba akitoa shukrani zake kwa JK
Vanessa Mdee akiwa jukwaani
Meza Kuu
Dkt Magufuli na Nape Nnauye wakifanya mambo jukwaani
JK akifurahi na wasanii
JK akipongezwa na King Majuto kwa kusakata rhumba
JK akipompongeza Dkt Magufuli kwa kupiga tumba kwa ustadi mkubwa
JK akisalimiana na mwigizaji nguli Ray Kigosi
Dkt Magufuli akisalimiana na Bashe
JK na msanii wa Hip Hop mkongwe Fid Q
JK akicheza na Vanessa Mdee
Wasanii wakongwe wakiserebuka
JK akifurahi na wasanii
Furaha na vicheko vilitawala
JK akisalimiana na Bushoke
Dkt Magufuli akisalimiana na Bushoke
MC Richie Mtambalike alinogesha vilivyo hafla hii
Meza kuu wakishangilia baada ya JK kutangazwa Shujaa wa wasanii
Nikki wa pili akionesha zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akionesha meza kuu zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii huku Fid Q akimuonesha majina ya wasanii wote yaliyotengeneza mosaic ya picha hiyo
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Dkt Magufuli akimpongeza Nikki wa Pili
JK akiongea na wasanii
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii na wadau wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
↧
UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI
Maafisa Masoko wa UTT-PID, Bi Kilave Atenaka (katikati) na Bi. Mary Minja (kwanza kulia) wakiongea na mteja aliyefika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonyesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Masoko UTT-PID, Bi Kilave Atenaka akihudumia mteja katika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Masoko UTT-PID, Bi Kilave Atenaka akihudumia mteja katika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.
Zaidi ya viwanja 2,500 vilipimwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali kama vile Makazi, Biashara, Maeneo ya Umma na sehemu za kupumzika.
Akielezea Afisa Masoko Bi. Kilave Atenaka alisema kuwa kwa sasa wanaendesha huduma ya uuzwaji wa Fomu kwa ajili ya Viwanja, pia wanatarajia kuanza kuuza kwa umaa na taasisi mbali mbali miradi mipya ikiwemo wa Tundwi Songai – Kigamboni jijini Dar es Salaam na ule wa Kingorwila, Morogoro.
Aidha Bi. Kilave alitumia wito huo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi ndani ya banda hilo kujipatia elimu mbali mbali zitolewazo na taasisi hiyo hapa nchini.
Toka kuanzishwa kwake Taasisi ya UTT-PID imejikita sana katika upimaji wa maeneno katika mikoa mbalimbali kwa kushirikiana na Halmashauri tofauti nchini. Miradi mikubwa kama ya Bukoba ambapo viwanja zaidi ya 5,000 vilipima kuuzwa, Halmashauri ya Sengerema kwa ushirikiano na Taasisi ilipima zaidi ya viwanja 1,200 na uuzaji pamoja na uwekezaji katika Miundombinu husika unaendelea kwa kasi. Pia Taasisi imewekeza katika miradi binafsi kama vile eneo la Mapinga katika wilaya ya Bagamoyo huku ikatarajia uwekezaji mkubwa zaidi katika mikoa ya Morogoro , Arusha, Dar es Salaam, Maswa, Pwani, Maswa na Ruvuma.
↧
ZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA
Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya India na China leo katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkuu wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, David Nsimba akitoa semina ya kuwajengea uwezo wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya India na China leo katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi waliosimama wanakwenda kusoma katika vyuo vya China nao walipata fursa ya kuhuduria semina ya kuwajengea uwezo kuwajengea uwezo wa mazingira katika vyuo hivyo na jinsi ya kuanza safari yao Agosti 21, 2015. Semina hiyo ilifanyika ofisi za GEL zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkuu wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, David Nsimba akikabidhi Hati ya Kusafiria (passport) pamoja na visa kwa mmoja ya mwanafunzi wanaokwenda kusoma Chuo Kikuu nchini China, makadhiano hayo yalifanyika leo ofisi za GEL zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wazazi wakiwa na watoto wao wanaotarajia kwenda kusoma Vyuo Vikuu vya nchini India na China wakiwa katika semina ya kuwajengea uwezo iliyofanyika katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka, GLOBU YA JAMII)
---
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.
Kampuni ya GLOBAL link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi leo imewapa semina zaidi wanafunzi 100 kwa wanaokwenda kusoma katika vyuo vya India na China katika kuwaandaa katika mazingira watakayokutana nayo kuanzia safari hadi kufika katika nchi hizo.
Akizungumza na wazazi pamoja na wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo katika nchi hizo, Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdulmaalik Mollel amesema kufanya semina hiyo ni kuwaandaa wanafunzi jinsi ya kwenda kusoma katika vyuo na kuja kuendeleza nchi yao katika teknolojia mbalimbali.
Amesema vyuo wanavyokwenda kusoma wanafunzi ni vyuo vyenye ubora wa elimu na sio majina ya vyuo yote hiyo ni kuandaa vijana katika soko la ajira uwigo mpana wa ndani na nje ya nchi au kujiajiri na kuleta mapinduzi katika nchi.
Mollel amesema kuanzia Septemba hadi Novemba itakuwa ni kusafiri kwa wanafunzi ambao wamepitia Global Link Education kwenda katika vyuo vinavyofanya vizuri na baadhi ya wanafunzi wamefaulu vizuri katika madaraja yanayokubalika katika ajira duniani.
Amesema Global Link Education wako katika utaratibu kuingia mkataba na makampuni mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wanaokwenda nje wakimaliza kuingia moja kwa moja katika soko la ajira ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi.
Mollel amesema hadi kufikia Oktoba wanatakuwa wamepeleka wanafunzi zaidi 600 katika vyuo mbalimbali ambavyo Global Link ni wakala wa vyuo hivyo .
Amesema waliokwenda India hadi sasa wamefikia 170 na bado wanaendelea kwenda na wanafunzi wengine zaidi 100 wanasubiriwa kutokana na kuwa katika Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Aidha amesema kuwa zaidi 100 wamepewa tiketi na visa katika vyuo vya nchi hizo ambayo kazi hiyo inafanywa na Global Link Education kwa kila hatua.
Amewataka wazazi katika kipindi hiki kifupi walete watoto wao kutokana kuwepo kwa nafasi katika vyuo vya India na China kutokana na kuwepo kwa maombi maalum.
Wazazi waliuliza juu ya kuharibikiwa kwa watoto katika vyuo vya nje ambapo Mkurugenzi wa Global Linki Education amesema kuharibikiwa huko kunatokana na wazazi kuwapa fedha nyingi za ziada na kufanya kujiingiza katika michezo michafu.
Mollel amesema wazazi watoe fedha kutokana na hali halisi ya matumizi ya mwanafuzi katika chuo husika au kuweza kuuwasiliana na Global kwa kusahauri jinsi ya kuweza kudhibiti matumizi ya mtoto akiwa chuoni.
Amesema kuwa wanafunzi hao wanakwenda ni watoto hivyo hawana udhibiti wa fedha hivyo lazima wazazi wawajue watoto matumizi yao.
↧
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA
Dkt John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa Adinselema uliokuwa ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra shamra na shangwe za hapa na pale.Pichani kulia ni Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mgombea Uraisi wa chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akipokelewa kwa shangwe na shamra shamra kutoka kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM waliokuwa wamekusanyika nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi,alipofika kusaini vitabu,kuwashukuru na kujitamulisha kwao.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akizungumza jambo na Wanachama wa chama hicho nje ya Ofisi za CCM mkoa wa Lindi
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya wanachama wa CCM na wafuasi wa chama hicho waliofika kumlaki alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama hao mapema leo Agosti 8 2015.Dkt Magufuli amewataka wananchama hao kushikamanana kuwa wamoja katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi,ambacho anaamini kitaipatia ushindi chama CCM.
Dkt John Pombe Magufuli akitia sahihi vitabu ndani ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi,pichani kati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa,Ndugu Ali Mtopa pamoja na
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwet.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwet.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi,Ndugu Ali Mtopa,alipowasili kumkaribisha Mgombea Mteule wa chama cha Mapinduzi,Dkt John Magufuli aliyewasili kwenye ofis hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi,Ndugu Ali Mtopa alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu,Mama Salma Kikwete.Dkt Magufuli aliwasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wanachama wa chama hicho waliofika kumlaki alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
"Karibu Bwana Magufuli..karibu sana Lindi" mmoja wa Wanachama akimkaribisha Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli mara baaada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Lindi ambapo alisaini vitabu,aliwashukuru wanachama na wafuasi wa chama hicho pamoja na kujitambulisha kwao.
Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kumlaki mgombea huyo.
"Karibu Bwana Magufuli..karibu sana Lindi" mmoja wa Wanachama akimkaribisha Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli mara baaada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Lindi ambapo alisaini vitabu,aliwashukuru wanachama na wafuasi wa chama hicho pamoja na kujitambulisha kwao.
Dkt John Magufuli akisalimiana na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Mtama,kabla ya Mh.Bernad Membe,Ndugu Kassim Abdallah .
PICHA NA MICHUZI JR-LINDI
↧
↧
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,PEREIRA AME SILIMA AFUNGA MAFUNZO
![]() |
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya awali ya Askari Polisi na Uhamiaji. |
![]() |
Naibu Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi ,Abdulrahman Kaniki akitoa hotuba yake katika siku hiyo. |
![]() |
Mkuu wa Chuo cha Polisi ,Commandant ,Matanga Mbushi akitoa hotuba yake katika sherehe hizo. |
![]() |
Baadhi ya wahitimu. |
![]() |
Baaadhi ya viongozi wa jeshi la Polisi wakifuatilia maonesho ya askari. |
![]() |
Askari Polisi wahitimu wakionesha umahiri wa kucheza Karate. |
![]() |
Askari Polisi wahitimu wakionesha Umahiri katika kutumia pikipiki wakati wa kudhibiti uharifu. |
![]() |
Askari Polisi Wahitimu wakionesha mbinu mbalimbali walizofundishwa . |
![]() |
Askari Polisi Wahitimu wakionesha namna wanavyoweza kutumia bastola. |
![]() |
Askari wahitimu wa kike wakionesha namna ambavyo walivyofundishwa matumizi ya Bastola. |
![]() |
Askari Polisi wahitimu wakionesha nmna ya kushusha wagonjwa kutoka gorofani. |
![]() |
Askari Polisi wakionesha namna wanavyoweza kupambana na waharifu kwa kutumia kisu. |
![]() |
Askari Polisi wa kike wakionesha namna ambavyo wanaweza kutumia kisu kupambana na mharifu. |
![]() |
Bendi ya Muziki ya Chuo cha Polisi ikiongozwa na Venance Geuza ,maarufu kama Anko Vena zamani Dogo Vena wakitoa burudani wakati wa sherehe hizo. |
![]() |
Kwaya ya wahitimu wakicheza wakati wakitumbuiza katika sherehe hizo. |
![]() |
Baadhi ya wahitimu. |
![]() |
Baadhi ya maofisa wa Polisi wakiwa timamu Chuoni hapo. |
![]() |
Wahitimu wakiwa katika picha ya Pamoja. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
↧
RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana.
Sehemu kivuko hicho kilichozinduliwa Rais Dkt Jakaya Kikwete mapema leo mkoani Mtwara.
Naibu Waziri wa Fedha Mh.Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Waziri wa Ujenzi Mh.John Pombe Magufuli kabla ya uzinduzi wa Kivuko cha Mv Mafanikio mkoani Mtwara mapema leo mchana
Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais Jakaya Kikwete kabla ya uzinduzi wa kivuko cha Mv Mafanikio mkoani Mtwara mapema leo mchana,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mh.Fatma Salum Ali.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Fedha,Mh Mwigulu Nchemba ambaye pia alihudhuria sherehe hizo fupi uzinduzi wa kivuko cha Mv Mafanikio mkoani Mtwara mapema leo mchana
Rais Kikwete akizindua rasmi kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kivuko cha Mv Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.Kivuko cha MV Mafanikio kina uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiwa ameambatana Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli mara baada kushuka kwenye kivuko cha Mv Mafanikio katika kata ya Msanga Mkuu-Mtwara vijijini mara baada ya kuzinduliwa na Rais Jakaya Kikwete,kivuko hicho kina uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa Msanga Mkuu-Mtwara vijijini waliofika kwenye uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3
Baadhi ya wananchi wa Msanga Mkuu-Mtwara vijijini wakishangilia jambo mara baada ya kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3 kuzinduliwa na Rais Dkt Jakaya Kikwete mapema leo mchana mkoani Mtwara.
Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi,Dkt Jonh Pombe Magufuli akizungumza jambo mbele ya wananchi wa Msanga Mkuu-Mtwara vijijini baada ya uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3,Dkt Magufuli amesema kuwa Rais Jakaya Kikwete katika utawala wake ndani ya maiaka kumi amefanikiwa kujenga vivuko vipya 15 na vingine 7 vimekwishakarabatiwa na vinafanya kazi mpaka sasa
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza jambo mbele ya wananchi wa Msanga Mkuu-Mtwara vijijini kuzindua kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 3.3
Bango la mradi huo
Mkuruegenzi Mkuu wa NHC,Nehemia Mchechu akizungumza jambo mbele ya mgeni rasmi Rais Dkt Jakaya Kikwete pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali na wananchi kwa ujumla katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za makazi zinazojengwa na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,
Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za makazi zinazojengwa na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu pamoja na Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akishuhudia tukio hilo.
PICHA NA MICHUZI JR-MTWARA
↧
MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK NCHINI MAREKANI.
Mchungaji Butiku akiongoza misa ya shukurani na arubaini ya marehemu Mzee Samuel Luangisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 8, 2015 Mount Vernon, New York na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Marekani.
Mrs Luangisa, mke wa marehemu akifuatilia misa.
Wanafamilia wakifuatilia misa.
Wajukuu wa marehemu wakifanya onesho la kumenzi babu yao.
Mtoto wa marehemu Mao Luangisa akitoa salamu za shukurani.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis akiongea machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya hivyo Jumuiya zitakua imara.
Mchungaji Butiku akiongoza misa.
Wakati wa maakuli.
Kwa picha zaidi bofya HAPA
↧
LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF JIJINI DAR
Sehemu ya Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF, wakiwa wamejipanga Barabarani tayari kwa kumlaki, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, alipokuwa akielekea Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF wakifurahia Ugeni huo.
Sehemu ya Viongozi wakuu wanaounda UKAWA, wakiongozwa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR - Mageuzi, Mh. James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NLD, Dkt. Emmanuel Makaidi, wakimsuburia Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwapungua Wanachama na Wafuasi wa Vyama UKAWA waliofurika kwenye Makao Makuu ya CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akikumbatiana na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kabla ya kuelekea kwenye Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Wenyeviti wenza wa UKAWA, Mh. James Mbatia na Dkt. Emmanuel Makaidi wakitembelea kuelekea Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakiwapungia wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA wakati wakielekea kwenye Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF. Wengine walioambatana nao ni Wenyeviti wenza wa UKAWA, Mh. James Mbatia na Dkt. Emmanuel Makaidi.

Umati wa Watu ukiwapokea Viongozi wao.
Umati nje ya Makao Makuu ya CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA wakati wakielekea kwenye Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni akiwasili kwenye Makao Mkuu ya CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR - Mageuzi,Mh. James Mbatia akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Tundu Lissu akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwahutumbia maelfu ya wanachama na wafuasi wa Vyama vinavyounda UKAWA, nje ya jengo la Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam leo August 9, 2015, kabla ya kufanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Mwenyekiti wa Chama cha NLD, Dkt. Emmanuel Makaidi akimpongeza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa mara baada ya kuhutubia.
Wakielekea kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Mh. Magdalena Sakaya wakati wa Mkutano wa Baraza Kuu la Chama hicho, uliofanyika August 9, 2015, kwenye Makao Makuu Chama cha Wananchi CUF, Buguruni jijini Dar es salaam.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF.
↧
↧
MESSAGE FROM MS IRINA BOKOVA, DIRECTOR-GENERAL OF UNESCO, ON THE OCCASION OF INTERNATIONAL DAY OF THE WORLD’S INDIGENOUS PEOPLES, 9 AUGUST 2015

Director-General of UNESCO, Ms Irina Bokova.
International Day of the World’s Indigenous Peoples is the perfect opportunity to emphasize indigenous peoples’ vital contribution to the implementation of sustainable solutions for tackling development challenges, from the management of natural resources to the fight against climate change.
Promoting the cultures, the languages and the knowledge of indigenous peoples is an essential part of UNESCO’s action. We know that respecting knowledge systems and local languages – including those of indigenous peoples – is one of the conditions for successful inclusive, equitable school systems, in which everyone can learn and show their potential. It is central to achieving the implementation of the quality education for all (EFA) goals and is fully integrated into the declaration adopted at the World Education Forum held in May 2015, in Incheon, Republic of Korea. The declaration advocates inclusive and equitable, quality education and life-long learning opportunities for all by 2030.
We must better transmit and promote indigenous peoples’ cultural diversity and scientific knowledge, which are forces for renewal and innovation for the whole world. UNESCO is thus working to have culture fully recognized as an enabler and a driver of inclusive and sustainable development. The cultural diversity of indigenous peoples, be it artistic traditions, music, craftsmanship or contemporary art, represents an infinite source of dignity, identity and cohesion, whose full potential we are far from having unleashed. Local and indigenous knowledge also plays a crucial role in the fight against environmental risks. We must further integrate this knowledge into the world’s scientific corpus, warning systems and our collective environmental conscience. Such is the goal of UNESCO’s programmes for the promotion of indigenous knowledge systems and the respect for indigenous peoples’ rights to maintain, control, protect and develop their traditional knowledge.
This reservoir of know-how and expertise contributes to the world’s beauty and wealth and can make all the difference in our attempts to safeguard it. Prior to the twenty-first session of the Conference of the Parties to the United Nations Framework Convention on Climate Change (COP21) in December 2015, UNESCO will host a conference devoted to indigenous peoples’ lessons in resilience to climate change. By listening to how indigenous peoples mobilize and adapt, all of humanity can be strengthened.
↧
MAISHA ya sasa. Ni kukimbiza DEATHDAY kuliko kuikimbia BIRTHDAY
Na Mubelwa T Bandio
MAISHA. Nimejifunza kuwa hayako sawa. Na naamini huo ndio usawa wake, kwani humu tuishimo hakuko sawa.
Hivyo, haitakuwa sawa kwa maisha kuwa sawa katika "uwanja" usio sawa kwa waishimo.
Na...
Najua nililoanza nalo na nitakaloendeleza halitaeleweka sawa, na huo ni udhihirisho wa usawa wetu, ambao nao hauko sawa.
Leo, Agosti 10, ninapoadhimisha mwaka mwingine katika maisha yangu, naitumia siku hii KUAKISI maisha yangu kuliko kusherehekea.
UKWELI ni huu...
Unasoma hapa kwa kuwa "umekua" na kufikia umri wa kusoma na kuelewa. Huu ni umri wa kusherehekea ama kuadhimisha siku kadhaa za kuzaliwa kwako.
Na, kama unasoma hapa, jambo moja ninaloweza kukuhakikishia ni kuwa UTAKUFA.
Kwa hiyo, kama wanadamu, haya mawili yanakuwa ya lazima. Ukizaliwa, utakufa. Tofauti ya maisha yetu ipo katikati ya haya mawili.
Kama nilivyowahi kuandika, kuwa UTAKUMBUKWA KWA DESHI YA MAISHA YAKO (rejea hapa)
Maishani, nimehudhuria BIRTHDAY(s) na MISIBA mingi tu, na kote nimejifunza mengi kuhusu maisha yetu ya sasa, tuyatakayo na namna tunavyojitahidi kuifikia TAMATI yetu.
Labda funzo kuu nililowahi kushiriki nanyi ni lile nililoliandika HAPA Agosti 22, 2011 baada ya kuhudhuria msiba wa Dada yetu hapa Washington DC.
Maisha yetu ya sasa yanaonekana kuwa ya mchakamchaka, twayakimbiza matumaini na (katika hali ya kushangaza) hata siku zaonekana kuwa fupi kuliko awali.
Kabla hujajipanga, ni kesho, ni juma lijalo, ni mwezi ujao na mwaka bila kukamilisha mengi uliyoamini ungependa kuyakamilisha katika muda uliojipangia.
Ninapoangalia miaka hii niliyoishi, naiona kuwa mingi sana. Si kwa kuwa nimeishi mingi kuzidi wote, bali kwa kuzingatia ni mara ngapi nimekuwa nikiamini nimefika mwisho wa uhai.
Nakumbuka kusoma makala ya Kaka Eric Shigongo, iliyosema kuuona mwaka mpya ni nafasi ya ziada. Na naamini katika hilo.
Mara kadhaa (na ni zaidi ya moja) nimekuwa kwenye nafasi ya kuona kama kesho ilikuwa mbali na isiyofikika kwangu nikiwa hai. Siku ambayo hunijia akilini zaidi juu ya hilo, ni HII
Lakini leo wasoma niandikalo.
NI NAFASI YA ZIADA katika kuikimbiza "siku ya mwisho"
Nikirejea kwenye kichwa cha bandiko hili,fikra kwamba maisha yetu ya sasa ni kama kuikimbiza kesho kuliko kuifikiria leo na hata jana, kunatufanya tuonekane kuyawaza yajayo kuliko tulikotoka.
Ni hili linalonifanya niamini kuwa, maisha yetu ya sasa yamewekeza katika yajayo. Na kama nilivyoeleza kabla, jambo pekee ambalo sote tuna hakika nalo, ni kifo.
Na ndio maana nikasema, MAISHA ya sasa. Ni kukimbiza DEATHDAY kuliko kuikimbia BIRTHDAY
Anyway!
Nisijesahau kujitakia EARTHday njema.
Najua fika kuwa hongera na shukrani za maisha yangu nazipokea kwa sababu ni Mungu aliyeniweka hai mpaka sasa.
Na ndiye aliyenipa WAZAZI wangu ambao sina ninanloweza kueleza kuhusu nafasi yao maishani ikalingana na walilotenda.
Labda jambo moja tu, kwamba walinibariki na NDUGU ambao uwepo wao umekuwa kama egemeo la kukua kwangu. Hawa ndugu wameniwezesha kuambatana na JAMAA ambao kwa muongozo wa ndugu, wameniwezesha kuwa nilivyo. Si unakumbuka kuwa Twachagua maongezi, maongezi yachagua mawazo na mawazo yatuchagulia jamii? (Isome hapa)
Nina maRAFIKI ambao wananisaidia katika kukua kwangu. Hawa nawajumusha na wale wanajiona kama maadui kwangu, ambao mara nyingi wamenifanya kujitahidi kukamilisha mambo ili wasipate la kusema.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Kipekee, namshukuru mke wangu mpenzi Esther na wanangu Paulina na Annalisa kwa kuwa wavumilivu kwenye harakati zangu (nyingine hazielewekagi yaani)
Hahahaaaaaaaaaaaaaa
Ni siku nyingine ya kukumbuka kuzaliwa kwangu. Nalikaribia hitimisho la maisha, na nikilijongelea, najitahidi kukamilisha dhumuni yangu ya kuwa humu duniani.
Mungu akubariki na kuonyeshe namna muafaka ya kutenda kila lililo jema, kadhi uikaribiavyo.
MAISHA. Nimejifunza kuwa hayako sawa. Na naamini huo ndio usawa wake, kwani humu tuishimo hakuko sawa.
Hivyo, haitakuwa sawa kwa maisha kuwa sawa katika "uwanja" usio sawa kwa waishimo.
Na...
Najua nililoanza nalo na nitakaloendeleza halitaeleweka sawa, na huo ni udhihirisho wa usawa wetu, ambao nao hauko sawa.
Leo, Agosti 10, ninapoadhimisha mwaka mwingine katika maisha yangu, naitumia siku hii KUAKISI maisha yangu kuliko kusherehekea.
UKWELI ni huu...
Unasoma hapa kwa kuwa "umekua" na kufikia umri wa kusoma na kuelewa. Huu ni umri wa kusherehekea ama kuadhimisha siku kadhaa za kuzaliwa kwako.
Na, kama unasoma hapa, jambo moja ninaloweza kukuhakikishia ni kuwa UTAKUFA.
Kwa hiyo, kama wanadamu, haya mawili yanakuwa ya lazima. Ukizaliwa, utakufa. Tofauti ya maisha yetu ipo katikati ya haya mawili.
Kama nilivyowahi kuandika, kuwa UTAKUMBUKWA KWA DESHI YA MAISHA YAKO (rejea hapa)
Maishani, nimehudhuria BIRTHDAY(s) na MISIBA mingi tu, na kote nimejifunza mengi kuhusu maisha yetu ya sasa, tuyatakayo na namna tunavyojitahidi kuifikia TAMATI yetu.
Labda funzo kuu nililowahi kushiriki nanyi ni lile nililoliandika HAPA Agosti 22, 2011 baada ya kuhudhuria msiba wa Dada yetu hapa Washington DC.
Maisha yetu ya sasa yanaonekana kuwa ya mchakamchaka, twayakimbiza matumaini na (katika hali ya kushangaza) hata siku zaonekana kuwa fupi kuliko awali.
Kabla hujajipanga, ni kesho, ni juma lijalo, ni mwezi ujao na mwaka bila kukamilisha mengi uliyoamini ungependa kuyakamilisha katika muda uliojipangia.
Ninapoangalia miaka hii niliyoishi, naiona kuwa mingi sana. Si kwa kuwa nimeishi mingi kuzidi wote, bali kwa kuzingatia ni mara ngapi nimekuwa nikiamini nimefika mwisho wa uhai.
Nakumbuka kusoma makala ya Kaka Eric Shigongo, iliyosema kuuona mwaka mpya ni nafasi ya ziada. Na naamini katika hilo.
Mara kadhaa (na ni zaidi ya moja) nimekuwa kwenye nafasi ya kuona kama kesho ilikuwa mbali na isiyofikika kwangu nikiwa hai. Siku ambayo hunijia akilini zaidi juu ya hilo, ni HII
Lakini leo wasoma niandikalo.
NI NAFASI YA ZIADA katika kuikimbiza "siku ya mwisho"
Nikirejea kwenye kichwa cha bandiko hili,fikra kwamba maisha yetu ya sasa ni kama kuikimbiza kesho kuliko kuifikiria leo na hata jana, kunatufanya tuonekane kuyawaza yajayo kuliko tulikotoka.
Ni hili linalonifanya niamini kuwa, maisha yetu ya sasa yamewekeza katika yajayo. Na kama nilivyoeleza kabla, jambo pekee ambalo sote tuna hakika nalo, ni kifo.
Na ndio maana nikasema, MAISHA ya sasa. Ni kukimbiza DEATHDAY kuliko kuikimbia BIRTHDAY
Anyway!
Nisijesahau kujitakia EARTHday njema.
Najua fika kuwa hongera na shukrani za maisha yangu nazipokea kwa sababu ni Mungu aliyeniweka hai mpaka sasa.
Na ndiye aliyenipa WAZAZI wangu ambao sina ninanloweza kueleza kuhusu nafasi yao maishani ikalingana na walilotenda.
Labda jambo moja tu, kwamba walinibariki na NDUGU ambao uwepo wao umekuwa kama egemeo la kukua kwangu. Hawa ndugu wameniwezesha kuambatana na JAMAA ambao kwa muongozo wa ndugu, wameniwezesha kuwa nilivyo. Si unakumbuka kuwa Twachagua maongezi, maongezi yachagua mawazo na mawazo yatuchagulia jamii? (Isome hapa)
Nina maRAFIKI ambao wananisaidia katika kukua kwangu. Hawa nawajumusha na wale wanajiona kama maadui kwangu, ambao mara nyingi wamenifanya kujitahidi kukamilisha mambo ili wasipate la kusema.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Kipekee, namshukuru mke wangu mpenzi Esther na wanangu Paulina na Annalisa kwa kuwa wavumilivu kwenye harakati zangu (nyingine hazielewekagi yaani)
Hahahaaaaaaaaaaaaaa
Ni siku nyingine ya kukumbuka kuzaliwa kwangu. Nalikaribia hitimisho la maisha, na nikilijongelea, najitahidi kukamilisha dhumuni yangu ya kuwa humu duniani.
Mungu akubariki na kuonyeshe namna muafaka ya kutenda kila lililo jema, kadhi uikaribiavyo.
↧
MSIKILIZE MWINGULU NCHEMBA AKIPANGA KIKOSI CHA USHINDI CHA CCM
↧